Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

Taasisi ya kinafiki!

It is.

Watu wanalishana yamini ya kuwa waaminifu huku wanafichana simu zao, ama wako humu, fesbuk, twitter, instagram, na kwingineko huko wanatafuta mabwana na mabibi, au wako kitaa wanachepuka.

Enough with the sugarcoating.

It's about time we start calling it for what it is.
 
Ulichokisema ni ujinga mtupu wewe na Le Mutuz kuna fuse hakuna tena za uko chini twist our @$$ to Chicago.
 
Utakuwa na matatizo ya maono wewe!

Povu kwenye hilo bandiko langu liko wapi?

Hakuna anayetetewa hapa.

Kama kuna kichotetewa basi ni haki, usawa, na uwiano.

Kumhukumu mtu bila kusikia upande wa maelezo yake ni kilele cha upumbavu na ujinga.

Tushawasikia wote, mfugwaji na mfugaji. kifupi wote wajinga ila mfugwaji alipaswa awe mpole.
 
Tushawasikia wote, mfugwaji na mfugaji. kifupi wote wajinga ila mfugwaji alipaswa awe mpole.

Ni wapi na lini Gardner alipoeleza kwa utondoti juu ya kilichopelekea kuachana/ kutalikiana kwao?

Na alisema nini?

Unaweza kuniambia ulipoyaona hayo maelezo ili nami niende nikayasome?
 
Hivi, Gardner ni golikipa?
Hana kipato kama wengine?
Kwa nini anaitwa Mario?
Au kwa vile kwenda kuishi nyumba ya mke?
Ama kwa vile alikuwa akitumia magari/ mali za Jide?

Majibu yote A Mpaka E ni sawa!
 
Binafsi sioni kama ni busara kwa huyo bwana kuingia katika vita vya maneno kupitia mitandao ya kijamii na huyo mwanamke.

Huyo mwanamke rekodi yake ya inda, unyambi, na ushari inajulikana.

Na ni kweli si malaika hata kidogo na watu tulio na utanabahi wa haki na usawa hatuamini mazima yale yote yaliyozungumzwa naye juu ya huyo bwana.

Kwa sasa ampotezee tu.

Khaaa
 
Ni wapi na lini Gardner alipoeleza kwa utondoti juu ya kilichopelekea kuachana/ kutalikiana kwao?

Na alisema nini?

Unaweza kuniambia ulipoyaona hayo maelezo ili nami niende nikayasome?

Wew unadhani G anaweza kusema nini,aliachana na nani????????????
Aliachwa hivyo hana chakusema, yaani mdomo umeshonwa, unachezea keachwa wewe.
 
Uliandika hivi.....

Tushawasikia wote, mfugwaji na mfugaji. kifupi wote wajinga ila mfugwaji alipaswa awe mpole.

Baada ya wewe kuandika hivyo ndo nami nikakuuliza kama inavyoonekana hapo chini.

Ni wapi na lini Gardner alipoeleza kwa utondoti juu ya kilichopelekea kuachana/ kutalikiana kwao?

Na alisema nini?

Unaweza kuniambia ulipoyaona hayo maelezo ili nami niende nikayasome?

Halafu eti unakuja unajibu hivi!

Wew unadhani G anaweza kusema nini,aliachana na nani????????????
Aliachwa hivyo hana chakusema, yaani mdomo umeshonwa, unachezea keachwa wewe.

Hujajibu swali.

Sasa sina hakika kama hujalijibu kwa sababu hujalielewa au ni kwamba umeshindwa tu kulijibu kwa sababu uliandika kitu ambacho hukijui.

Umesema kuwa tushawasikia wote. Mimi najua huyo mwanamke alichokisema kulingana na alichokiandika huko sijui kwenye Instagram akizungumzia kuvunjika kwa ndoa yake.

Sasa Gardner wewe umemsikia wapi akilizungumzia hilo suala la kuvunjika kwa ndoa yake kwa utondoti?

Halafu unajikanganya wewe mwenyewe. Unasema kuwa tushawasikia wote (wakilizungumzia hilo suala) lakini tena unakuja unadai eti "Aliachwa hivyo hana chakusema, yaani mdomo umeshonwa".

Sasa kama hana cha kusema wewe umemsikia wapi akilizungumzia hilo suala la kuvunjika kwa ndoa hadharani?

Clarity of thought please!!
 
Hivi, Gardner ni golikipa?
Hana kipato kama wengine?
Kwa nini anaitwa Mario?
Au kwa vile kwenda kuishi nyumba ya mke?
Ama kwa vile alikuwa akitumia magari/ mali za Jide?


Hakuna cha ajabu hapo, kwa mtu wa Tanga hiyo ni common mwanaume kuhamia kwa mwanamke au hata kuishi kwa wakwe zake. Kwahiyo GGH alikua anatekeleza sehemu ka utamaduni
 
Hilo la kuachana hawezi kulisema kwakua hawajaachana bali ameachwa, nasisitiza ameachwa.Aliyoropoka inst ni sehemu inawakilisha udhaifu wake wa kutafuta huruma za watu.

Mkuu please!!!! kubali kuwa hawezi kuelezea kamwe, kwakua ni aibu mwanaume kuachwa. na anajua akijaribu tu kupindisha ukweli Komando atamuaibisha ni hivo.
 
Hilo la kuachana hawezi kulisema kwakua hawajaachana bali ameachwa, nasisitiza ameachwa.

Umejuaje kama ameachwa? Una ushahidi wowote ule unaoonyesha kuwa yeye ndo kaachwa? Au umemeza kila neno lililotoka kwa huyo mwanamke?

Yaonekana upo kiushabiki zaidi wewe.

Aliyoropoka inst ni sehemu inawakilisha udhaifu wake wa kutafuta huruma za watu.

Kwa hiyo alichokiandika Gardner ni kuropoka lakini alichokiandika JayDee siyo? Hahahahahaaa duuuh!

Na alichokiandika JayDee hakiwakilishi udhaifu wake? Yeye hatafuti huruma za watu?

Mkuu please!!!! kubali kuwa hawezi kuelezea kamwe,

Huwa sikubali kubali tu. Ni lazima unishawishi kwa ithibati thabiti kuwa kweli hawezi kuelezea licha ya kwamba wewe mwenyewe umejikanganya kwa kudai tayari tumeshawasikia wote wawili wakilizungumzia hilo suala.

kwakua ni aibu mwanaume kuachwa.

Ni aibu kwa mwanaume kuachwa? Na mwanamke kuachwa si aibu?

Hakuna cha aibu hapo kwani hilo nalo ni sehemu ya maisha na kuachwa si mwisho wa dunia.

na anajua akijaribu tu kupindisha ukweli KOMANDO atamuaibisha. ni hivo.

Unasadiki mno wewe. Hivi unajua hata maana ya neno 'kusadiki'? Manake nisije nikawa natumia misamiati ambayo hata huijui wala kuielewa.

Na bado hujanionyesha Gardner kasikika wapi kuhusiana na kuvunjika kwa ndoa yake licha ya WEWE kudai kuwa tumeshawasikia wote.

Au unabisha kuwa hukuandika kwamba tumeshawasikia wote?
 
Ngabu college ulisomea law?

naona una practice u prosecutor hapa au mwanasheria mtetezi

wabongo tushazoea kuongea 'our assumptions kama ndio tthe truth and nothin but the truth'
na wala hatujijui kuwa tuko wrong
 
The Boss
Hahahaaaa,kuna jamaa juzi juzi hapa aliniambia eti nina LL.B Marekani hawatoi LL.B.

But then again I went to the School Hard of Knocks where I majored in Major and got a PhD. in Common Sense:smile-big:.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom