Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

komandoo kitu gani nenda tanga Kwa alshabaab.jide Anajisikia sana Gardner mpotezee yasiwe km ya mbasha kufilaana alafu kutangazana kwenye media
 
Tabu ya wanawake ni kwamba atafanya kitu akiwa na mapenzi mazit kwako lakini yakiisha atakudhalilisha ili uonekane huna maana, hakuna haja ya kumjibu ni kuchapa lapa tu na maisha
 
Nyani Ngabu

Tena wanaume simu zenu ndio hamtaki siguswe kabisaa,lakini kuangalia za wenzenu kibokoo,,kwa kweli ni unafiki tu,,
 
Last edited by a moderator:
Nyani Ngabu

Unayosema ni hakika kabisa. Taasisi hii ni ngumu Sana lakini ugumu unaletwa na wahusika wenyewe. Uaminifu sifuri kabisa, mtu anaona bora arushe uchi wake live huko skype ili mpenzi wake auone

lakini jaribu kushika simu yake kwa sababu yoyote ile, ni lazima kuwe na ugomvi. Ama humu tu, nina uhakika asilimia kubwa hawajui ID za wenzi wao tena watu huzificha ili wawe huru kufanya na kusema yao.
 
Last edited by a moderator:
shaurimbaya
Umenena mkuu,mie huwa najiuliza inawezekanaje mtu mzima unaamua kuanika mambo yako kwenye mitandao kiasi hiki, anyway hata kama angekuwa kaonewa suala la yeye kuamua kuja kwenye mitàndao Nina mdistqualify na kumwona immature,emotional and incompetent.
 
Last edited by a moderator:
Jamani mie nina mtazamo tofauti wa ushahidi wa kimazingira.Huyu jamaa alinyang'anywa mke na jamaa yupo nasikia anafanya kazi ardhi kitengo cha uthamini wakati wakiishi mwanza. Mke wa GGH alikuwa akimtuhumu jamaa kuwa sio rijali na ili afanye mambo inabidi waanze naye kwanza,basi mke akawa anachepuka na huyo jamaa mwishowe akachukuliwa na jamaa moja kwa moja.

Huku kwa jide napo tuhuma hizo zimetolewa ingawa huyu amejitahidi sana kuficha lakini inajulikana.Nashindwa kuamini taarifa hizi ila najaribu kuunganisha matukio nabaki kimya tu.Sasa namshauri aache malumbano ya mtandao na huyu mwanamama,atunze heshima yake basi. Wanaume tunapaswa kuwa na mioyo mipana ya kubeba mambo na kufunga vinywa vyetu kutunza utu wetu.
 
christmas
Usi conclude kwa kusikia ya upande mmoja. Simtetei Gardner wala Jaydee. Kumbuka wanawake ni wepesi sana kuongea na kusema ya ndani kupita wanaume ili kupata huruma ya jamii.

Jifunze kutokutoa hukumu baada ya kusikia ubaya wa ntu wa upande mmoja. Asilimia 90 ya wanandoa ni style ya Gardner "chupi mkononi" kama mlivyomuita lakini wake zao wako kimya hawawaaniki kama huyu mwenye jeuri ya pesa.

Kama kaamua kuondoka mwenyewe kama anavyodai, hana sababu ya kubwabwaja mitandaoni kama kuku anayetaka kutaga. Panapo ukweli utao ekana tu. Huna sababu ya kumdhalilisha mwenzio mliteishi zaidi miaka saba mki share kitanda kimoja.

Kwa nafasi ya jaydee kajidhalilisha, hakumdhalilisha Gardner. Gardner atabaki kuwa mwamamme na tabia za kiume no matter what! Jaydee ni mwanamke hata amiliki dar es salaam, na utajiri wa bakhresa hataitwa mwanamme. Ajifunze kuwa mwanamke maana kwa uanaume wake wa kujipa sababu ya pesa, hata kwjngine atashindwa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Captain GGH

Hekima ikuongoze ufunike kikombe.

Usikubali kuingia kwenye mchezo huu wa malumbano yasiyo na faida.
 
Binafsi sioni kama ni busara kwa huyo bwana kuingia katika vita vya maneno kupitia mitandao ya kijamii na huyo mwanamke.

Huyo mwanamke rekodi yake ya inda, unyambi, na ushari inajulikana.

Na ni kweli si malaika hata kidogo na watu tulio na utanabahi wa haki na usawa hatuamini mazima yale yote yaliyozungumzwa naye juu ya huyo bwana.

Kwa sasa ampotezee tu.

Sikujua NA huyu mwehuu naeee
 
Yote 9, mawili tu ndo makosa makubwa kwa Gardner
-Openly Cheating
-Umario
 
Kiranga
Ha ha ha ha ha ha! Uandishi wa kwenye jukwaa hili usiuchukulie serious sana. Nimecheka sana japo nahisi umeamua kuzingua tu!

Dah! LOL! SMFH.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom