Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
Last edited by a moderator:
hasimakosa nimokeoyandoaa. Mmojawapo akikoseayote 9, mawili tu ndo makosa makubwa kwa gardner
-openly cheating
-umario
Usi conclude kwa kusikia ya upande mmoja. Simtetei Gardner wala Jaydee. Kumbuka wanawake ni wepesi sana kuongea na kusema ya ndani kupita wanaume ili kupata huruma ya jamii.
Jifunze kutokutoa hukumu baada ya kusikia ubaya wa ntu wa upande mmoja. Asilimia 90 ya wanandoa ni style ya Gardner "chupi mkononi" kama mlivyomuita lakini wake zao wako kimya hawawaaniki kama huyu mwenye jeuri ya pesa. Kama kaamua kuondoka mwenyewe kama anavyodai, hana sababu ya kubwabwaja mitandaoni kama kuku anayetaka kutaga. Panapo ukweli utaonekana tu. Huna sababu ya kumdhalilisha mwenzio mliteishi zaidi miaka saba mki share kitanda kimoja
Kwa nafasi ya jaydee kajidhalilisha, hakumdhalilisha Gardner. Gardner atabaki kuwa mwamamme na tabia za kiume no matter what! Jaydee ni mwanamke hata amiliki dar es salaam, na utajiri wa bakhresa hataitwa mwanamme. Ajifunze kuwa mwanamke maana kwa uanaume wake wa kujipa sababu ya pesa, hata kwjngine atashindwa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
what did you jus call him???."mwehu"
am out dude
Gardner hana lolote hapo anazuga tu ili aonekane na yy kuna vitu alikua anavumilia kwa Jide kumbe hakuna lolote. From the story Jide kaeleza ya moyoni na ni ya ukwel inaonekana. Sawa Jide c o malaika bt seemz mistakes zake ni za kawaida compared na za mshkaji ndio maana amebaki kuuuliza eti aseme au anyamaze.... kifupi mshkaji ni player sana
Unataka kumshauri nini?
Wakati wanatongozana kwani walikushirikisha?
Nimemdharau ghafla huyo baba, hajui kishakua kijeba??????? pfyuuuuuuuuu!!!!!!
mke gani tena? alishaolewaga na jamaa lenye pesa kuliko gadner, akijaribu kumfuatilia jamaa atamnyonya kamasi. ni mke wa mtu na ana watoto wa mmewe. gadner tulia kimyaaaa, usijaribu kumfuatilia huyo mke wa mtu.Mimi ni mwanaume lakini siwezi kuwa upande wa Gadner hata siku moja.Nakumbuka alivyomuacha mkewe akiwa na watoto wadogo.Masononeko ya mkewe ndiyo yaliyomfikisha hapo.Arudi kwa mkewe aombe msamaha ili mkewe akunjuwe nafsi la sivyo kila siku atakuwa mtu wa majuto na kuomba ushauri mitandaoni.
Hizi post za Gadner naona kama zinampa kudos Jide. Kama mwanaume mzima unaandika unaishi kwa hisani ya mtu fulani kwa nini isiwe hata kwenye ndoa ulikuwa unaishi kwa hisani ya Jide.
Lugha gani unazungumza wewehasimakosa nimokeoyandoaa. Mmojawapo akikosea
kuna haja gani ya kuandika instagram, fb, twitter etc kwa mtu mzima kama gadna.
kuna umri ukifika mambo ya mitandao unayaweka pembeni. unafanya maisha kimya kimya.