Siyo muwazi ni mjinga.kwani hata kama huyo jd ndio alikuwa anaprovide kulikuwa na sababu gani ya kutangangaza kwenye public kama si alitaka kumdhalilisha.?anaonekana ana roho mbaya sana.Huyu jamaa anataka kurudi kwenye enzi za utoto wakati ameshakuwa mtu mzima?? Na anajua wazi kuwa jide ni muwazi ila anataka kuingia kwenye vita ya maneno.
Itamuharibia sana
Hayo ndo matunda ya mwanaume mvivu
Siyo muwazi ni mjinga.kwani hata kama huyo jd ndio alikuwa anaprovide kulikuwa na sababu gani ya kutangangaza kwenye public kama si alitaka kumdhalilisha.?anaonekana ana roho mbaya sana.
Siyo muwazi ni mjinga.kwani hata kama huyo jd ndio alikuwa anaprovide kulikuwa na sababu gani ya kutangangaza kwenye public kama si alitaka kumdhalilisha.?anaonekana ana roho mbaya sana.
huyu nae mwanaume kama binti
Robbyone duka la nguo hilo mdau..
Afanye kazi aache umario
Mwanaume pesa maneno aachie taarabu
Yaani we acha tu, hana muda mrefu atakuwa ndani ya himaya fulani, hapendezi hata kuwa mario jitu kubwaaaaaaaaaaa, pfyuuuuuuuuuuuuuu!!!!
aaah tupa kule alimuacha mke wake mbebe mkarez kisa pesa acha aoneshwe shida za kila rangi
Hehehe, #VJM ndo nani tena?
Nacheka kama mazuri,nampenda sana jide na kwa ajili ya mziki wake. Gadner nilipenda support aliyokuwa anampa mkewe. Seen a few gestures between them nikaona wanapendana. Ila kwa hili jide anachemka. Ingetosha kusema ilikuwa ndoanyenye physical and emotional abuse akaishia hapo. Too much info sijui za kushika makalio wahudumu blah blah