Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

Nyani Ngabu
Naongea kutoka kiumeni kama mwanamme, na kwa kuwa subject Gardner ni mwanamme.

Kusema kwamba mwanamme anatakiwa kuyaona matatizo kutoka maili 10,000 hakumaanishi kwamba mwanamke hatakiwi, kunaweza kuwa kunamaanisha tu kwamba hapa tunaongelea mwaname.

Kumpa majukumu mwanamme ya kuwa muangalifu ili asiiweke famikia kwenye matata na kitajwa vibaya na watu si mfumodume, ni uangalifu na kulinda staha za unyumba ndani na hata nje ya unyumba.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha ajabu hapo, kwa mtu wa Tanga hiyo ni common mwanaume kuhamia kwa mwanamke au hata kuishi kwa wakwe zake. Kwahiyo GGH alikua anatekeleza sehemu ka utamaduni

Captain kaishi tanga ila kwao ni rombo hata kwenye kile kipindi chake cha EATV walionesha walivyokuwa huko ukweni rombo
 
vegas
Hivi ile nyumba ya kimara walikokua wanaishi, ni nyumba ya jide au ni nyumba ya ndoa, yale magari ni magari ya jide au magari ya ndoa. nikisema kitu cha ndoa nina maana jide hakuvipata kabla ya kuoana na gadner, alivipata wakiwa ndoani na gadner hivyo wote waliijenga ile nyumba na walinunua yale magari kwa pamoja. kama ni hivyo, itakuwa sio sahihi kusema gadner alihamia kwa jide.

kama walijenga wote hiyo ni nyumbani kwake na ni mali yake pia, na wakipeana talaka wanatakiwa kuachana. gadner amefanya mchango mkubwa sana kwenye mali za jide, hivyo wanatakiwa kugawana hata kama haitakuwa pasu kwa pasu lakini atapata fungu kubwa tu. na ile nyumba ngoja tujiandae kuinunua kule kimara na liuwanja lile, manake itabidi waiuze ili wagawane kila mtu achukue chake.
 
Last edited by a moderator:
Nyani Ngabu
Mkuu umeshinda, Gkamuacha JIDE, G hakufugwa ila alikuwa anasogeza muda mbele. haya funga mjadala basi.
 
Last edited by a moderator:
Changamoto za ndoa huhamisha mijadala mingi toka kwenye ukweli na kuanza kupakana matope,siku nikimuacha mke wangu sina haja ya kuanza kuzungumzia mabaya yake maana hakuna malaika duniani hata mimi nina mabaya yangu tena mengi tu.
Kinachoonekana hapa ni maumivu ya kukosekana kwa mwenzi uliyemzoea katika maisha na chuki hujengeka bila kutarajia,haya yote yatapita cha msingi ni uvumilivu.
 
Yaani nawashangaa sana wanaume mnaopenda kukodolea pesa za midada. Nenda kwa wazazi wakushauri mwanamke wa kuoa. Ona sasa alikutoa Cloud Fm ukafuata K sasa utajiju.
 
huyu nae mwanaume kama binti

Usiseme hivyo, Huyo bwana alikua ni mtangazaji, pia alimsapoti sana huyu binti.Suport sio lazima iwe ya kipesa hata ushauri na company . Ebu fikiria wewe uko na mume mwanamziki alafu wewe umeajiriwa mshahara wa kawaida, jioni ukitoka kazini unaenda kumsaport mme wako kwenye maukumbi anaenda kutumbuiza...f*ck huyu jamaa amevulimia sana. jaribuni kuangalia na upande mwingine. Huyo dada bila ubishi kamtumia sana jamaa sasa anamuona mlevi na muasherati.
 
Mimi si shabiki wa hawa wanaoitwa Celebreties sijui ila Ndugu Gadner Habbash huu ni ushauri wangu kwako "Wewe ni kichwa cha ile familia mliolishana agano, daima hakukosekani ups n downs, haijalishi nani kamtosa mwenzake nani kasababisha haya.

Lakini kwa sababu Mama kautangazia umma kile mlichoafikiana ktk kushindwana, ni vema sana ukaruhusu ukweli ukajitetee wenyewe pasipo kufungua kinywa chako wala kuandika lolote limhusulo aliyekuwa mwenza wako. Mume aliyeenda jando hastahili kumjadili mkewe au aliyekuwa mkewe na watu wengine isipokuwa Mme na Mke tu"

Ukimya, utulivu,hekima huufanya ukweli ulinde dhamana yako kama mwanaume.
 
Kuanzia leo sinunui kazi za Jide na nachoma moto vi CD vyake, iweje amdharirishe mlevi mwenzetu? aaaaghhhh
 
benteke
Aaah tupa kule alimuacha mke wake mbebe mkarez kisa pesa acha aoneshwe shida za kila rangi
 
Last edited by a moderator:
Sikuwahi nunua kazi ya huyu Binti na daima kwa macho nilimuona si kioo cha jamii, nashindwa kuamini niliposoma maandiko yake juu ya huyu bwana wake leo huyu bwana ni kubwa Jinga, huyu Bwana hajamsaidia.

Mpenda kutongoza..tiatiaa.Loooh ama kweli ukichokwa na hawa wadada wakishapata basi ile hekima ya Kisamvu si Mboga na Karanga si kiungo" hutamalaki mmekutana kimyakimyaaaaa,why not separate cool.
 
aaah tupa kule alimuacha mke wake mbebe mkarez kisa pesa acha aoneshwe shida za kila rangi

Alimtelekeza Mke kumbe!!!! Hapahapa duniani!!! Ila hapaswi kumjibu huyu Mvunja ndoa ya Mbebe Mkarez
 
Tunaishi katika ulimwengu ambao mwanamke akirise hoja mbaya dhidi ya mpenzi wake, huonekana ameonewa sana na mwanaume huyo ni mbaya sana. Lakini mwanaume akiyazungumza ya mwenzi wake huonekana anamdhalilisha mwanmke wake. Ndio maana wanaume tumepewa koromeo lengo ni kwamba sauti zetu zisikike kwa busara na hekima sio kuzitoa hovyo hovyo.
Wanawake ni mabingwa sana wakujifanya victims hata kama wao ndio chanzo cha yote.

Duh leo ndo nimejua we mwanaume.

Hizi IDs nyingine mbona tutaingia cha kike bila kujua???
 
wapo wengi wanamatatizo na ndoa zao wanayamaliza kimyakimya nawao kama walivoanzana kimyakimya nawamalizane kimyakimya..hakuna haja yakutupandikizia chuki kwan ukiukubali utetez wa jide utamchukia ghabash n visevesa is true
 
Back
Top Bottom