Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

kuachwa na mwanamke mwenye sura akitabasamu kama anapiga chafya??? be my guest, anythime!!!

I bet Gadna akiwa kwa bed alikuwa analazimika kuvuta image ya Mariah Carey ili aweze angalau kupata bao

Ni ujinga kukubali kumuoa mwanamke unayedhani ana sura km anapiga chafya...

BTW judith ni mrembo sana,labda utuwekee sura unayodhani ni mrembo,na umemweka ndani...
 
Ni ujinga kukubali kumuoa mwanamke unayedhani ana sura km anapiga chafya...

BTW judith ni mrembo sana,labda utuwekee sura unayodhani ni mrembo,na umemweka ndani...

Judith ni mrembo??? kuna haja ya kubadilisha maana ya neno mrembo kwenye kamusi ili lilete maana inayoendana na sura ya JD!!! kuhusu kumuoa mwanamke wa hivyo, well..wewe hujawahi kumsaidia mtu kumbebea mzigo? ulijisikia raha ulipobeba au ulikubali kuteseka ili binadamu mwenzio apate faraja? sura siwez kuweka, but I guarantee you wewe hapo ni mrembo kuliko comandoo...na ana sura na mwili wa kikomandoo kweli best
 
Ni ujinga kukubali kumuoa mwanamke unayedhani ana sura km anapiga chafya...

BTW judith ni mrembo sana,labda utuwekee sura unayodhani ni mrembo,na umemweka ndani...
Ila jestina unaweza ukawa upo right..kwa maana halisi "mrembo" ni aliyejiremba..JD anaweza akapaka hiyo mipoda yake, akavaa nguo za gharama, akasuka anavyojua yeye...mpaka akawa mrembo, I agree but ataishia kuwa mrembo..uzuri atausikia bombani
 
Ruttashobolwa
Layman's perspective!

Topic; Ye mtu mzima bwana yaani alikuwa kaoa ila alikuwa hajui nini cha kujibu lini na vipi ajibu mpaka leo?Kashamjibu mangapi so far tangu wameoana.
Wanaume wengine wanatudharaulisha tu.
yaaaani weeeeeuuweeee!!
imagine dume zima na kengele zake kama nyanya chungu shambani linawaza kupeana mipasho na mkewe mitandaoni!!
Too Pediiish as in (always,freestyles na zingine)
habari za asubuhi bulaza!!ankal anakusalimia!!
 
Last edited by a moderator:
Judith ni mrembo??? kuna haja ya kubadilisha maana ya neno mrembo kwenye kamusi ili lilete maana inayoendana na sura ya JD!!! kuhusu kumuoa mwanamke wa hivyo, well..wewe hujawahi kumsaidia mtu kumbebea mzigo? ulijisikia raha ulipobeba au ulikubali kuteseka ili binadamu mwenzio apate faraja? sura siwez kuweka, but I guarantee you wewe hapo ni mrembo kuliko comandoo...na ana sura na mwili wa kikomandoo kweli best

Uzuri upo tofauti,utakayemuona mzuri mwingine atamuona.mbaya and vice versa......ndio maana nikakuomba picha ya huyo uliyemuweka ndani km mzuri as a reference tuone km una haki ya kumuita jide mbaya..............pole najua hutonijibu hili...
 
Uzuri upo tofauti,utakayemuona mzuri mwingine atamuona.mbaya and vice versa......ndio maana nikakuomba picha ya huyo uliyemuweka ndani km mzuri as a reference tuone km una haki ya kumuita jide mbaya..............pole najua hutonijibu hili...
kwa kuanzia hakuna mahali katika postings zangu nimecomment kuwa niliyemuweka ndani ni mzuri, u never know naweza nikawa na huruma kama Gadna nikawa nimeoa polygon!!!

utofauti wa uzuri upo najua..lakini sio kufikia extent ya kusema Mizengo Pinda ni handsome man!! au kuanza mabishano ya nani handsome as far as Mizengo na Chris Brown are concerned...penye ukweli uongo utajitenga daima

Jay D ni mzuri tena saana tu! ni mzuri sana kwa mipasho, kujistukia, kulialia, kutafuta huruma za jamii na kutokubali kwamba she is a bad loser!!!
 
yaaaani weeeeeuuweeee!!
imagine dume zima na kengele zake kama nyanya chungu shambani linawaza kupeana mipasho na mkewe mitandaoni!!
Too Pediiish as in (always,freestyles na zingine)
habari za asubuhi bulaza!!ankal anakusalimia!!

umeandika maneno meengiiii...what was needed kusema ni kama amjibu au asimjibu...u remind me of my girlfriend, muulize simply, "wnats for lunch baby?" atakwambia "u know nilipokwenda bucha, nimekuta nyama mbaaya na muuzaji mwenyewe anaringa namuuliza nyama ya lini hata hanijibu, nikaenda gengeni, minyanya hiyo ungeiona usingetamani kuinunua, wakati nachagua shogangu Mariam kanipigia kaniambia Mlimani City kuna nyama nzuri ya kusaga...blah blah blah" come oooon, I just asked whats for lunch...too peddish, wont you say?
 
kwa kuanzia hakuna mahali katika postings zangu nimecomment kuwa niliyemuweka ndani ni mzuri, u never know naweza nikawa na huruma kama Gadna nikawa nimeoa polygon!!!

utofauti wa uzuri upo najua..lakini sio kufikia extent ya kusema Mizengo Pinda ni handsome man!! au kuanza mabishano ya nani handsome as far as Mizengo na Chris Brown are concerned...penye ukweli uongo utajitenga daima

Jay D ni mzuri tena saana tu! ni mzuri sana kwa mipasho, kujistukia, kulialia, kutafuta huruma za jamii na kutokubali kwamba she is a bad loser!!!

Bora umekubali,..........km huna mzuri ndani kwako..then huna mamlaka ya kumwita Jide mbaya..............eti utamuhurumia na kumweka ndani polygon??hivi wewe mzima..??...kwa faida ya nani ukifanya hivi...mnh......naona unaanza kujiuliza mwenyewe km una uwezo wa kuvuta msichana mzuri km Jide....lol ..... pole....Mizengo ni mzuri tena super handsome kwa mama Tunu.....lol
 
Bora umekubali,..........km huna mzuri ndani kwako..then huna mamlaka ya kumwita Jide mbaya..............eti utamuhurumia na kumweka ndani polygon??hivi wewe mzima..??...kwa faida ya nani ukifanya hivi...mnh......naona unaanza kujiuliza mwenyewe km una uwezo wa kuvuta msichana mzuri km Jide....lol ..... pole....Mizengo ni mzuri tena super handsome kwa mama Tunu.....lol

Certainly you can argue Jessie, I think I like you. Now lets agree to differ, ok?
 
umeandika maneno meengiiii...what was needed kusema ni kama amjibu au asimjibu...u remind me of my girlfriend, muulize simply, "wnats for lunch baby?" atakwambia "u know nilipokwenda bucha, nimekuta nyama mbaaya na muuzaji mwenyewe anaringa namuuliza nyama ya lini hata hanijibu, nikaenda gengeni, minyanya hiyo ungeiona usingetamani kuinunua, wakati nachagua shogangu Mariam kanipigia kaniambia Mlimani City kuna nyama nzuri ya kusaga...blah blah blah" come oooon, I just asked whats for lunch...too peddish, wont you say?

we naeeeee
hem kafunge lastiki ya gagulo kwanza bdo urudi!!
mxxxxxxiiou!!
mishipa ya vidole imekutoooooka!!
 
Huyu Captain sijui hana akili kabisa upumbavu wake unajulikana siku nyingi.anasema ndio maana Mungu kamnyima Jide nini?obvious mtoto ndio anazungumziwa hapo.kwaza ajue tatizo linaweza lisiwe kwa jide likawa kwake.uyo mama robbi anawatoto wangap na yeye?au kelele tu?
mi sijawahi waza kama kunawanaume wazembe kiasi hiki.
 
kelele nyingi humu ni za wanaume na wengine wanadiriki kusena wanaume baba mmoja inamaana wanakubali kama gdna ni malaya kama wao,hivyo jide hanakosa kuponya afya yake kwa kuachana na uomzoga kama gadna angekua mume au muoaji asingemuacha fauzia kwajili ya hela ya Jide hivyo ni gold digger.
Jide kusema anavyojiskia kwasisi tuliosoma saikolojia mana yake yupo kwenye healing process inaruhusiwa.kwa alioeleza niya ustaarabu kwa wanaume mnauchafu mwingi wakuvumiliwa hasa akiwa mlevi.
ndoa ni ndoa tu iwe ya superstar au ya kabwela .jide kajitahidi hadi alipoweza,gadna mbona hana point za makosa makubwa ya mwenzie? ye siamekosewa mbona show of nyingi badala ya point?
 
Mafanikio ya JD kwa kiasi kikubwa yameletwa na Gadner,huyu jamaa ni bonge la meneja,hamuwezi kuelewa haraka,kwa wajuvi wa mambo fuatilieni nyumbani lounge ya kipindi kile na hii ya juzi baada ya hawa wawili kuachana na jide kuibadilisha jina mtaelewa tu.
 
Wote Jide na Gadner kila mmoja anayo mapungufu yake. Tatizo sisi tuliopo uwanjani tunafurahia kuona mshindi anapatikana awe Jide au Gadner lakini mwisho wa siku mapenzi hayana dhamana. Mahusiano yao walianza wakiwa wawili, wakati wanaanza mahusiano hakuna aliye kuja public kuomba ushauri tulio wengi tulisikia tu kwenye media kwamba wamefunga ndoa sasa sioni pia sababu ya sisi kuwapa ushauri leo mambo yao wakae pamoja wayamalize wenyewe

Yawezekana nikawa tofauti na wadau wengine lakini kwa dhana ya uhuru wa mawazo naomba maoni yangu yabaki yalivyo. Jide na Gadner wote ni kioo cha jamii "public mirror" kwa umaarufu walio nao kwa sasa. Skendo za watu mashuhuri hasa ktk tasnia ya sanaa zimekuwa nyingi sana na zote hizi zinasababishwa na kila mmoja kujiona ni bora kuliko mwenzake mbele ya wenzake. Japokuwa matatizo ya Jide na Gadner ni tofauti kidogo hasa ikizingatiwa kuwa chanzo kikuu cha mgogoro ni suala la watoto ndani ya ndoa yao kitu ambacho kinatatuliwa kwa maelewano na makubaliano baina yao kwani kutopata mtoto kuna sababu nyingi kitaalam ambazo mlio wengi bilashaka mnazifahamu.

Mimi wito wangu kwao mambo haya ya kuanza kuoneshana umwamba kwenye media siyo mazuri wakae huko wakubaliane wenyewe.

Huo ndio ushauru wangu.
 
we naeeeee
hem kafunge lastiki ya gagulo kwanza bdo urudi!!
mxxxxxxiiou!!
mishipa ya vidole imekutoooooka!!
nashukuru kumbukumbu yako ipo kamili, lile gagulo uloniazima linanipwaya na elastic yake kweli imefunguka...naona ulisahau kuwa we ni mnene kuliko mimi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kelele nyingi humu ni za wanaume na wengine wanadiriki kusena wanaume baba mmoja inamaana wanakubali kama gdna ni malaya kama wao,hivyo jide hanakosa kuponya afya yake kwa kuachana na uomzoga kama gadna angekua mume au muoaji asingemuacha fauzia kwajili ya hela ya Jide hivyo ni gold digger.
Jide kusema anavyojiskia kwasisi tuliosoma saikolojia mana yake yupo kwenye healing process inaruhusiwa.kwa alioeleza niya ustaarabu kwa wanaume mnauchafu mwingi wakuvumiliwa hasa akiwa mlevi.
ndoa ni ndoa tu iwe ya superstar au ya kabwela .jide kajitahidi hadi alipoweza,gadna mbona hana point za makosa makubwa ya mwenzie? ye siamekosewa mbona show of nyingi badala ya point?

Healing process ya kuponyesha maeneo aliyokwanguliwa na Ruge Mutahaba hotelini South Africa? Tena akiwa ameshaolewa na akiwa kwenye ndoa!! She surely needs to heal!!!!
 
kelele nyingi humu ni za wanaume na wengine wanadiriki kusena wanaume baba mmoja inamaana wanakubali kama gdna ni malaya kama wao,hivyo jide hanakosa kuponya afya yake kwa kuachana na uomzoga kama gadna angekua mume au muoaji asingemuacha fauzia kwajili ya hela ya Jide hivyo ni gold digger.
Jide kusema anavyojiskia kwasisi tuliosoma saikolojia mana yake yupo kwenye healing process inaruhusiwa.kwa alioeleza niya ustaarabu kwa wanaume mnauchafu mwingi wakuvumiliwa hasa akiwa mlevi.
ndoa ni ndoa tu iwe ya superstar au ya kabwela .jide kajitahidi hadi alipoweza,gadna mbona hana point za makosa makubwa ya mwenzie? ye siamekosewa mbona show of nyingi badala ya point?

too bad saikolojia yako haikwambii " a person who talks much often has much to hide"
 
Back
Top Bottom