Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

Jasho la mwanaume ni kali sana na linakera, pia wengi wao ndio wana hili tatizo tofauti na wanawake
Kunja shingo yako kushoto temea mate chini ili yasirudi kinywani mkuu, wooh like seriously!

Habari hizo niulize mimi, maana hadi naona kinyaa kuyaandika hapa!

Mpaka mtu unajiuliza: 'hivi huyu hajisikii anavyonuka'!

Na tena hao wamenitengenezea haiba ambayo sikuwa nayo!

Maana ninabagua sana mwanamke wa kufanya naye mahusiano, kutokana na hilo.
 
Back
Top Bottom