wanaume!!nimewanyooshea mikono

wanaume!!nimewanyooshea mikono

Hongera mdada, una 50p% katika assignment yako uliyopewa ya kutumia Ms Word. Unasoma "UCC" eeh.. Msalimie mwalim wako mwambie akuelekeze jinsi ya kutumia keyboard manake bado hujafaulu eneo hilo!
 
Yaani we ndio ulikuwa mwanaume unayemlazimisha mwenziyo akubusu siku ya kwanza tu?we manoah wewe umeanza lini hiyo tabia afu unajitaja tu bila hata aibu nikusemee kwa mimisa?
nilikua mie kaka! aligoma huyo hadi jasho lilimtoka, asijaribu tena lift za usiku, tena ashukuru mie ni mwema alafu nilikua sijala cha arusha. Dunia imechafuka
 
Last edited by a moderator:
, ........ kwani
hujui apearance yako inaweza kukutambulisha kuwa wewe ni mtu wa naina gani?

Hapo kwenye blue ndio ulipojikwaa !!
Hiyo ni 'weakness' ya watu wengi sana. watu wengi wanadhani kuwa muonekano wa mtu ndio 'picha' ya mtu alivyo.
Ogopa sana muonekano wa mtu kwa nje.
Matapeli wote hapa Dar, watekaji nyara, watesaji, n.k. wote wanavaa vizuri sana.
Hapo ndipo watu wengi wanaponaswa.
Ogopa sana mtu aliyevaa vizuri sana halafu anakuongelesha kama vile mnafahamiana wakati hamfahamiani kabisa.
Jiulize, upole na ukarimu wote huo anaokuletea ni wa nini ?? Anataka kupata nini kwako wakati wewe hujamfuata kumuomba msaada wake ??
 
We na wewe walewale tu................yakikutokea unaandika wanaume umewanyooshea mikono.....umetembea nao wote?
 
kwa uandishi huu ni bora ungeanzia mwisho wa story uishie mwanzoni.
Hiki ni kivumbi,au mie ndio sielewi ,"ni baada kuniomba tukiss kabla sijashuka ndani ya gari yake. Nilimshangaa sana, ukizingatia hanijui, simjui, ni mara ya kwanza kuniona.

Nilichokifanya mimi, nilimwambia usijal, siku nyingine but alining'ang`aniza sana, nikajuta kupanda lift za watu nisiowajua"
.Kwahiyo jamaa ali kiss au haku-kiss au hapo kwenye "alining'ang`aniza sana"inawezekana jamaa ali-kiss???
 
Hiki ni kivumbi,au mie ndio sielewi ,"ni baada kuniomba tukiss kabla sijashuka ndani ya gari yake. Nilimshangaa sana, ukizingatia hanijui, simjui, ni mara ya kwanza kuniona.

Nilichokifanya mimi, nilimwambia usijal, siku nyingine but alining'ang`aniza sana, nikajuta kupanda lift za watu nisiowajua"
.Kwahiyo jamaa ali kiss au haku-kiss au hapo kwenye "alining'ang`aniza sana"inawezekana jamaa ali-kiss???

hapana
 
Ungemkiss tu shavuni iyo ni friendship charges.
Wabishi kama nyie nawashushaga kwenye gari mbali na nyumbani kwenu alafu kwenye giza mixxer mbwa koko ili mkome kupenda mteremko wa bure.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ungemkiss tu shavuni iyo ni friendship charges.
Wabishi kama nyie nawashushaga kwenye gari mbali na nyumbani kwenu alafu kwenye giza mixxer mbwa koko ili mkome kupenda mteremko wa bure.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

mmhh!
haya
bwana.
 
Ilikua ni jana mida ya saa3 na dk hv, nikiwa kituoni nimechoka balaa. Nilikuwa nasubiri magari yanayoelekea kwetu. Nilikuwa nimechoka kiukweli, coz usafiri ulikuwa shida sana.

Pembeni yangu kulikuwa na mkaka aliyeoneakana ni mstaarabu, na kimuonekano alionekana mtanashati, alinisogelea na kunisalimia, akaniuliza naelekea wapi? Nkamwambia, kwakuwa alionekana mstaarabu tuliongea, mawili matatu, akanambia kuna mtu alikuwa na
appointment naye, but hawakuweza kuonana, so akanambia atanidrop home, kwakuwa usafiri ulikuwa shida, nilikubali, nilimshukuru
sana.

Baada ya kunifikisha maeneo ya karibu na home, kilichonifanya niandike thread hii ndefu, ni baada kuniomba tukiss kabla sijashuka ndani ya gari yake. Nilimshangaa sana, ukizingatia hanijui, simjui, ni mara ya kwanza kuniona.

Nilichokifanya mimi, nilimwambia usijal, siku nyingine but alining'ang`aniza sana, nikajuta kupanda lift za watu nisiowajua.

Yamekukuta eeeh!!!!
 
Kiss haimaanishi kuwa wewe na yeye ni wapenzi, sema wewe uliwaza mbali sana na uenda na we ulikuwa tayari umeshavutiwa na utanashati+usitaarabu wake so alipokuomba umkiss tayar ukamaanisha yaliyoko moyoni kwako.
 
Acha mambo ya ajabu,kiss tu unakuja kutangaza huku? Ningekuomba chini je?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom