ukweli
ndio
huo
nilioandika
hapo,
sifa
nilizompa
ni,phisical
apearance
yake,kwani
hujui
apearance
yako
inaweza
kukutambulisha
kuwa
wewe
ni
mtu
wa
naina
gani?
Ungekiss tu kama ishara ya kulipa fadhila za kudandia lift za usiowajua....
Hilo liwe fundisho, utakubalije lift za usiku huku humjui huyo mtu kisa tu umeona mtanashati, hajui siku izi watu wabaya walivyo wapole? Dunia imechafuka asirudie tena kuamini mtu kwa kumtazama.. mimisa nahisi hatwendi mbali any tm kila mmoja atajigawa
Blue G ujumbe gani umefika? kwamba aling'ang'aniwa hadi akajuta hapa tujiulize alijutia nini? Na pole uliyompa ni kwa ujinga wake wa kupenda A/C ya magari ya watu.....Sasa nagundua kwa nini ukianza shule lazima uanzie chekechea.
yawezekana maana midume nayo ukianzisha sasari moja inaanzisha nyingine....Angekubali ku kiss lips za mdomo jamaa angetaka ku kiss na zile lips nyingine, ilibidi dada atoke mbio tu.
Daaaaaaaaaahhh mkuu punguza hasira aisee so kuchukia huko.
mi bado cjakusoma,kwan kiss ni hatari?mi nilijua alikubaka jins ulivoanza kumbe kis tu na angetaka na k ingekuaje kama kis tu unaleta hii thread yako.mi nahis kuna kilichoendelea...either alikumega balaa mpaka humsahau
Ilikua ni jana mida ya saa3 na dk hv, nikiwa kituoni nimechoka balaa. Nilikuwa nasubiri magari yanayoelekea kwetu. Nilikuwa nimechoka kiukweli, coz usafiri ulikuwa shida sana.
Pembeni yangu kulikuwa na mkaka aliyeoneakana ni mstaarabu, na kimuonekano alionekana mtanashati, alinisogelea na kunisalimia, akaniuliza naelekea wapi? Nkamwambia, kwakuwa alionekana mstaarabu tuliongea, mawili matatu, akanambia kuna mtu alikuwa na
appointment naye, but hawakuweza kuonana, so akanambia atanidrop home, kwakuwa usafiri ulikuwa shida, nilikubali, nilimshukuru
sana.
Baada ya kunifikisha maeneo ya karibu na home, kilichonifanya niandike thread hii ndefu, ni baada kuniomba tukiss kabla sijashuka ndani ya gari yake. Nilimshangaa sana, ukizingatia hanijui, simjui, ni mara ya kwanza kuniona.
Nilichokifanya mimi, nilimwambia usijal, siku nyingine but alining'ang`aniza sana, nikajuta kupanda lift za watu nisiowajua.