Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,448
- 4,980
dah!mwanzo mzuri sana dada!
Utakua ulivaa kichangu.
Jamaaa hapo juu amekuuliza kila unapoandika neno UNAGONGA ENTER? mbona uandishi wako upo tofauti na MBAYA sana Dada! duuuuuh hizo sentensi gani hizo wewe?
Kwahiyo uking'ang'nizwa tuu unakubali?natamani ningekuwa mimi huyo mng'ang'anizaji,ningekung'ang'aniza kukugonga hadi ungekubali.Wanawakee bana nimewavulia msuli!!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
kama ulimkisi wewe ni mpuuzi wa kwanzaNilichokifanya mimi, nilimwambia usijal, siku nyingine but alining'ang`aniza sana, nikajuta kupanda lift za watu nisiowajua.
Ilikua ni jana mida ya saa3 na dk hv, nikiwa kituoni nimechoka balaa. Nilikuwa nasubiri magari yanayoelekea kwetu. Nilikuwa nimechoka kiukweli, coz usafiri ulikuwa shida sana.
Pembeni yangu kulikuwa na mkaka aliyeoneakana ni mstaarabu, na kimuonekano alionekana mtanashati, alinisogelea na kunisalimia, akaniuliza naelekea wapi? Nkamwambia, kwakuwa alionekana mstaarabu tuliongea, mawili matatu, akanambia kuna mtu alikuwa na
appointment naye, but hawakuweza kuonana, so akanambia atanidrop home, kwakuwa usafiri ulikuwa shida, nilikubali, nilimshukuru
sana.
Baada ya kunifikisha maeneo ya karibu na home, kilichonifanya niandike thread hii ndefu, ni baada kuniomba tukiss kabla sijashuka ndani ya gari yake. Nilimshangaa sana, ukizingatia hanijui, simjui, ni mara ya kwanza kuniona.
Nilichokifanya mimi, nilimwambia usijal, siku nyingine but alining'ang`aniza sana, nikajuta kupanda lift za watu nisiowajua.
hivi
wewe
umesoma
vizuri
nakuelewa?au
unakurupuka
tu,kujibu
wapi
nimeandika
nilikubali?
kama ulimkisi wewe ni mpuuzi wa kwanza
ukweli
ndio
huo
nilioandika
hapo,
sifa
nilizompa
ni,phisical
apearance
yake,kwani
hujui
apearance
yako
inaweza
kukutambulisha
kuwa
wewe
ni
mtu
wa
naina
gani?
Sifa ulizo mpa tu,afu kusema "mara ya kwanza kumuona" haya maneno yananipa full tabia yako...nikikosea ni asilimia chache sana. na napata picha ulimalizananae vipi...
Ilikua ni jana mida ya saa3 na dk hv, nikiwa kituoni nimechoka balaa. Nilikuwa nasubiri magari yanayoelekea kwetu. Nilikuwa nimechoka kiukweli, coz usafiri ulikuwa shida sana.
Pembeni yangu kulikuwa na mkaka aliyeoneakana ni mstaarabu, na kimuonekano alionekana mtanashati, alinisogelea na kunisalimia, akaniuliza naelekea wapi? Nkamwambia, kwakuwa alionekana mstaarabu tuliongea, mawili matatu, akanambia kuna mtu alikuwa na
appointment naye, but hawakuweza kuonana, so akanambia atanidrop home, kwakuwa usafiri ulikuwa shida, nilikubali, nilimshukuru
sana.
Baada ya kunifikisha maeneo ya karibu na home, kilichonifanya niandike thread hii ndefu, ni baada kuniomba tukiss kabla sijashuka ndani ya gari yake. Nilimshangaa sana, ukizingatia hanijui, simjui, ni mara ya kwanza kuniona.
Nilichokifanya mimi, nilimwambia usijal, siku nyingine but alining'ang`aniza sana, nikajuta kupanda lift za watu nisiowajua.