tuko break,na invoice imeshakuja,kulipia matangazo yoote tuliyoweka hum ndani
grafani11 sogea hapa
Tena mwambie aje na ATM card kabisa maana invoice ni kubwa balaa
tuko break,na invoice imeshakuja,kulipia matangazo yoote tuliyoweka hum ndani
grafani11 sogea hapa
Endelea kula ugali kwa picha ya samaki utashiba tu.
Haina shida kama ni kubwa sana huwa tunatumia cheki, ATM mzigo.Tena mwambie aje na ATM card kabisa maana invoice ni kubwa balaa
Endelea kula ugali kwa picha ya samaki utashiba tu.
mbona ulishakuja siku nyingi saana,
Nini BAN kama ikiwezekana na password pia iwekwe kifungoni mpaka hapo mimi na Malkia wangu tukimaliza shughuli yetu nzito.Heaven on earth huyo dogo grafani11 ana balaa
ngoja tumpe BAN ya muda aache kuchakachua siredi ya charminglady na kuweka matangazo yake
Wanaume ni mashetani hata wakiinuliwa miguu ni kazi bure!
ha ha haaa penye moto mwaga petrol
Ingekuwa hivyo humu asingebakia hata mmoja na wewe ungekuwa ndiye nyapara wa wafungwa wenzako.charminglady kuna mtu anaitwa grafani11 anachakachua siredi yako na kutuma matangazo yake ya dawa zake za kienyeji za kuponya mfadhaiko hebu njoo hapa au report abuse kwa mods wampige IP BAN
Mwambie hivi, akiona kapata shetani ajue ndiyo saizi yake, wenzake binadamu wamepata binadamu wenzao wanakula good times zikiisha wanaongeza.Dada Happy kwa nini una hitimisho baya hivyo? Utaweza kuishi maisha ya useja?
Wapo wanawake wenzako wanasema wanaume ni malaika, na wapo wanaume wanadai wanawake ni mashetani! Je, kati ya hao, kina nani ni sahihi?
Hadithi ina mafunzo mazuri lakini hadi mwisho sijaona kama mwanaume ndiye mwenye mushkeli hapo...shida ipo kwa huyo mwanamke kwani alitema BIG G kwa karanga za kuonjeshwa...
"Wanawake jifunzeni kuacha mbwembwe"
Mpelekee irene mwamfupe ndauka atakushukuru sana
Wakati huyo Tumaini anaambiwa hayo yooooote, Je alikuwa ni single lady? au alikuwa tayari ana agano na mtu mwingine?Daddy, mwanaume ana mushkeli hapo. Huoni kuwa hakuwa na nia ya ndoa bali aliamua kuingia kwa gia ya ndoa???
Mungu anapotaka kukufunza huwa hashuki yeye mzima mzima kuja huku duniani wala kutuma malaika, wakati mwingine hutumia mizungu yake...Na pamoja na gia ya ndoa akamdanganya awaaambie wazazi wake kuwa kuna mgeni kisha akamuacha solemba????
Dada Happy kwa nini una hitimisho baya hivyo? Utaweza kuishi maisha ya useja?
Wapo wanawake wenzako wanasema wanaume ni malaika, na wapo wanaume wanadai wanawake ni mashetani! Je, kati ya hao, kina nani ni sahihi?