Prisoner 46664
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 1,948
- 1,238
loh!
hakika huu si uanaume.
ni ukatili tuuu.......
hakika huu si uanaume.
ni ukatili tuuu.......
vya yule dada..
Angalia asije kukuwekea sembe kwenye kinywaji ukajikuta umesinzia ghafla, ukiamka unakuta tayari sahani imetumika. Maana mtu mwenyewe huyo alishatajwa kwenye orodha ile ya wafungwa wa China.Hapewi mtu hapa naenda kumsikiriza halafu nakuja kukwambia atakachoniambia
Nilishtuka nikamwambia siendi ng'oo, maana alikuwa kumbe na mpango wa kunikaba nikienda nisitoke, hanipati imekula kwake hiyoAngalia asije kukuwekea sembe kwenye kinywaji ukajikuta umesinzia ghafla, ukiamka unakuta tayari sahani imetumika. Maana mtu mwenyewe huyo alishatajwa kwenye orodha ile ya wafungwa wa China.
Usije kuta alishakiandaa kirungu chake kabisa, sijui itakuwaje. Hahaaaaaaaaaaaaa..imekulaje kwake.Nilishtuka nikamwambia siendi ng'oo, maana alikuwa kumbe na mpango wa kunikaba nikienda nisitoke, hanipati imekula kwake hiyo
Usije kuta alishakiandaa kirungu chake kabisa, sijui itakuwaje. Hahaaaaaaaaaaaaa..imekulaje kwake.
Mbona tayari umeshatukana kwa kichina hapo kwenye red.halafu wewe ........................ dogo nitakutolea tusi habati mbaya humu kuna BAN unachonga sana kama redio ya mbao bana
Mbona tayari umeshatukana kwa kichina hapo kwenye red.
Okay, now let me say this,Hahhaaaa.... ndio ishaishia hapo mkuu, haya tunakusubiri kwa hamu!!!
Afu usiwe unapotea sana kiasi hiko :lol:
wacha wee!! we nae mhanga nini? teh teh!Wanaume ni mashetani hata wakiinuliwa miguu ni kazi bure! ha ha haaa penye moto mwaga petrol
Mi sijambo hofu kwakografani11 na Mamndenyi na Erickb52 mtachonga sana mara niko kwenye orodha ya wauza sembe mara nilikamatwa china mara sijui ni mzeee wa kutoa talaka mara sijui copy kwa wife wangu Dena Amsi bado fanyeni copy za JF nzima miss wa kinyaru hujambo bibie nimekumiss sana
Utanipaje maana wakati mimi nimesoma mwenyewe na kulielewa. Kwa taarifa yako nina shemeji mchina huwa ananifundisha.Nilifikiri hutaliona bahati yako mbaya siwezi kukupa maana yake dogo wewe
Mi sijambo hofu kwako
Angalia usije ukajikuta unaangukia pua, unaweza sema waenda kumkomoa kumbe na mwenzio kajipanga,mademu wanasumbua sana mie kuna mmoja nitamfanyia hivyohvyo..
anajiona na.anadharau