Abdalah Sambala
Member
- Oct 4, 2013
- 22
- 7
Duu ngoja nianze kubadl maana miez mitatu cjabadi
Kwani haingii..kama yanakukela mnyoe
huu utafiti utakupeleka pabaya , degree zingine hazifai kuwaniwa maana unaweza kumaliza na HIV + haya twende tu .
Nani kakudanganya?
Basi ziwe fupi fupi, maana mwanaume nae akiwa mweupe wala hanogi.
Lakini utakuta mwengine ameifuga mivuzi hiyo, tembo anaweza akaingia na kujificha.
Afu sasa ukute ni kipilipili, afu zina u-brown.
Jamani ee..mtavikata vinyama vyetu kwa steel wire zenu.
Nyoeni.
Mpaka ufikie kuwaomba wanaume wote basi ni dhahiri unafanya kazi ya ukahaba
Ndo nlipochoka. mwanzoni nlifikiri mara nne kwa siku kumbe kwa wiki!!! Yani ukirudia kwa siku mbili poa tu!! Kabibi kenu mbona kataniua kakijua nimerudia? Katika hali ya kawaida utarudiaje boxer? Uvivu wa kufua au?
kama ww ni mwanamke, ukikutana na mwanaume ana-shave vizuri huko mahali na anavaa boxer safi na inayong'aa tena nyeupe ujue huyo ana mke au mpnz anayemfanyia huo usafi. hawa wenzetu usipowasaidia kwenye huo usafi, hawaoni tabu kuvaa boksa wiki nzima. mbaya zaidi mkikutana atataka blowjob na boksa yake aliyovaa wiki nzima
Nani kakudanganya?
Basi ziwe fupi fupi, maana mwanaume nae akiwa mweupe wala hanogi.
Lakini utakuta mwengine ameifuga mivuzi hiyo, tembo anaweza akaingia na kujificha.
Afu sasa ukute ni kipilipili, afu zina u-brown.
Jamani ee..mtavikata vinyama vyetu kwa steel wire zenu.
Nyoeni.
Hayo ni mambo ya matozi sisi wagumu tunavaa boksa moja kwa wiki nzima na tunanyoa mara moja kwa kila miezi minne.
Nalog off
Madame B ahsante sana kwa kunisaidia afu yanakata kule mahali
Ongezea na kubadilisha soksi
Madam,
Shikamoo
Markhabaaaa...
Hujambo mtoto mzuri!
Dah kaushaa,Madam B atakuja hapa itakuwa noma.
Waniamkia wataka kuninyima nini.
Mie mkubwa mwenzio.
Njoo tucheze kidali Po!
Sijambo. Sasa Madam utakuta mtu kaoa ana mke nyumbani au anamchumba wake bado ananuka boxer labda na msitu anao. Nani alaumiwe sasa
Kama noma na iwe noma.
Mfue Boxer hizo...nyingine zinaachama mpaka mipira inalegea na kubaki kama nyavu za kuvulia samaki lakini mnazivaa tu.
Soksi pia jamani...
Khaa!
Afu wewe aloycious mbona wewe waogopa sana?
Upo upande wa Boxer au Soksi!
Kwa hiyo nikisafiri utavaa boxer hiyo hiyo moja huku unanisubiri nirudi kukufulia?
Na mivuzi yako hautainyoa mpaka mie nirudi?
...basi shughuli.
Madam,
Mie kiukweli mie nina boxer mbili za tommy,mchanganyiko wa microfiber 90% na elastane 10%,najitahidi sana kuzifua fua,siku mbili mbili.