Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 13,054
- 26,187
Penye miti lazima pawe na nyasi bana ndivyo mungu alivyoumba.
Ha ha ha,ila uoto wa kisavanna unavutia zaid,nyasi fupi fupi,mti mmoja mmoja yani scattered vegetation. Ha ha ha
Penye miti lazima pawe na nyasi bana ndivyo mungu alivyoumba.
Njoo muda wowote weekendi hii,ila msitu wangu wa mianzi sinyoi Madam.
Akha!
Kama ndo hvo siji, nisije kukutana na wanyama bure.
Wewe ni mkaguzi kwa upande wa pili shem kama alivyo Asprin anaetuwakilisha sisi wa upande wa kwanza..?
Jaman njoo mie nishajiandaa hivi,tutazima taa then no blowjob. Relax
Akhuu!
Namuogopa Abdala kichwa wazi.
Hayo ni mambo ya matozi sisi wagumu tunavaa boksa moja kwa wiki nzima na tunanyoa mara moja kwa kila miezi minne.
Nalog off
Sikutegemea manenow kama haya. ni hataree. naimagine harufu inayotoka hapo kwako. boxer wiki nzima sio mchezo
Jitahidini kukwangua nywele za sehemu ya siri na nywele za kwapani.
Pia bila kusahau boxer zenu kubadilisha walau mara nne kwa wiki.
Ni ombi tu
kwanza pole kwa jamaa yako kuwa hivyo, ujue wanaume wote sio kama huyo wa kwako, nguo ya ndani ni kama hizi za kawaida tunabadilisha kila siku, hivi unawezaje kurudia nguo ya ndani marambili...? hebu kuwa muwazi kwa mwenzio ajitahidi kwa usafi! ikiwa vipi mnunulie nyingine.Jitahidini kukwangua nywele za sehemu ya siri na nywele za kwapani.
Pia bila kusahau boxer zenu kubadilisha walau mara nne kwa wiki.
Ni ombi tu
Kaizer umeshajua kinachoendelea
Hampendi kuambiwa? Harufu ya papuchi inatisha jamani...Kabla hujamwambia mwenzako ana kibanzi jichoni...toa kwanza boliti katika jicho lako!!!
Hapa Heaven on earth atajibu mwenyewe. Aliniambia haya eti ni mambo madogo. Mia:tape:
Mpake tindikali huyo zitanyonyoka zenyewe.
babe habari yako..........nimekumith thana