Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,974
- 13,429
Hayo ni mambo ya matozi sisi wagumu tunavaa boksa moja kwa wiki nzima na tunanyoa mara moja kwa kila miezi minne.
Nalog off
Nalog off
he he he loh sina hata lakuongezea nipo speechless!!
ahaahhhh mtoto wa kibondei huyo
Usijitoe fahamu hapa.
Boxer zenu mwisho buku 2 ndo wengi wenu mwazivaa, ambazo kuisha kwake ni kama tambara la deki.
Tupitishe ukaguzi!!!??
Smile anza na huyu...
Basi tuko tofauti .maana mimi manzi wangu anapenda kuyachezea mavuzi au hata nywele singa singa za kwapani. Akikosa kazi
boxer buku 2?
na unaivaa mpaka inakuwa kama chekeche au tambara la deki?
kizazi hiki cha sasa?
labda mateja wenu wa kinondoni aseeeeeh!
Huyo ameona bora to develop interest kwenye manywele maana ndo ulivyo, la sivyo atapoteza appetite kwako. Hebu nyoa uone atakavyofurahi.
MakubwaBasi tuko tofauti .maana mimi manzi wangu anapenda kuyachezea mavuzi au hata nywele singa singa za kwapani. Akikosa kazi
Hivi wanaume wanajuaga kufua na kuji shave wenyewe? Mi naonaga sisi ndiyo tunawafanyiaga hayo. Ukimkuta mchafu ujue demu wake au mke wake hamjali.
Mimi napenda kumtake care wa kwangu awe smart. Namnunulia boxers za kutosha za cotton, leso pamoja na vests, namfulia, na kuzipiga pasi, na kumshave kwapa mpaka kule chini... Huezi kumkuta mchafu never!!!
ha ha ha steel wire zao lol!Nani kakudanganya?
Basi ziwe fupi fupi, maana mwanaume nae akiwa mweupe wala hanogi.
Lakini utakuta mwengine ameifuga mivuzi hiyo, tembo anaweza akaingia na kujificha.
Afu sasa ukute ni kipilipili, afu zina u-brown.
Jamani ee..mtavikata vinyama vyetu kwa steel wire zenu.
Nyoeni.
ha ha ha steel wire zao lol!
Jitahidini kukwangua nywele za sehemu ya siri na nywele za kwapani.
Pia bila kusahau boxer zenu kubadilisha walau mara nne kwa wiki.
Ni ombi tu
Jitahidini kukwangua nywele za sehemu ya siri na nywele za kwapani.
Pia bila kusahau boxer zenu kubadilisha walau mara nne kwa wiki.
Ni ombi tu
We comment tu mi nipo nakulinda!