Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,512
Babuuuuu.....Najaribu kukuona utakavyokuwa ukiponda raha na Heaven on earth hapa.Subiri nipate hela ya mafao
Last edited by a moderator:
Babuuuuu.....Najaribu kukuona utakavyokuwa ukiponda raha na Heaven on earth hapa.Subiri nipate hela ya mafao
kweli dear i promise from today nachange ! yaani nipe mwaka namiliki ka mjengo .. bora hata nioe kwenye kamjengo kangu akinipasua kichwa natimua! mambo ya kuumbuka hapa mjini hata konda hakupigii mluzi siwezi
DEMBA wazazi wetu wamefanya makosa mengi sanaafadhali nyie angalau you have a place to call it home
Mara ya kwanza niliposikia Mzee Gurumo wa Msondo Ngoma anadai ameimba zaidi ya miaka 50 na maisha yake bado ya 'kimaskini mno' niliona kuna kitu hakiko sawa... sikuwa na ushahidi tu lakini nilikuwa na uhakika kwa vyovyote vile 'atakuwa alichezea maisha ujanani'
Sasa jana walioona akifanyiwa interview na Salama kipindi cha MKASI watakubaliana na mimi huyu Mzee na wengine wengi tunaosikia
wakihojiwa na vyombo vya habari ..wakilaumu serikali kwa kutowajali. Wengi wao walipata 'golden opportunities' za kuwa na maisha bora lakini 'walichezea pesa' na 'opportunities hizo' so many times...
Mfano: Mzee Gurumo jana alisema alilipwa 'elfu ishirini' mwaka 1978 ili kuhamia bendi ya Sikinde...kumbuka kuwa Mshahara wa Rias mwinyi mwaka 1992 ulikuwa 'elfu ishirini na saba tu' sasa pata picha huyu mzee alikuwa na pesa kiasi gani? Na mshahara wake ulikuwa 'shilingi elfu tatu' mwaka hu0 1978... wakati kima cha chini mpaka mwaka 1987 kilikuwa hakijafika 'shilingi elfu saba'
Kuna Mzee mwingine alitunga kitabu riwaya 'Simu ya Kifo' alilipwa 'elfu kumi na mbili ' miaka hiyo nyumba Kariakoo zinauzwa shilingi 'mia nne' na alikufa bila nyumba wala kibanda..
Orodha ni ndefu...na wapo wengine Baba zetu, Wajomba, babu na kadhalika ukiwaona uzeeni wanavyolalamika na kuomba wasaidiwe.... utasema hawakupata chochote ujanani kumbe anasa, starehe na kuhonga wanawake ndo sababu....
Ukweli ni kwamba watu 'huchezea maisha mno' halafu uzeeni hutafuta wa kumpa lawama mara watoto, mara serikali na kadhalika....
Huyu Mzee Gurumo alikuwa sio mtu wa kupewa gari na Diamond... angekuwa na magari na majumba tele ya kuwarithisha watoto na wajukuu...
NN asante
na hii dhana pia inaumiza wengi mno
mtu hawezi ku afford gari
anajilazimisha kununua hata kwa mkopo,mwisho
hela ya mshahara yoote inaishia kwenye mafuta
ndo mwisho anashindwa fanya ya maana,sababu gari linam cost mno..
Babuuuuu.....Najaribu kukuona utakavyokuwa ukiponda raha na Heaven on earth hapa.
View attachment 111472
Huu mjadala unanikumbusha mjadala wa kuwa na nyumba au gari kianze kipi...baadhi hapa naona tumeshaanza au bado tunawaza kuwa na gari na huna nyumba tayari unaelekea kuwa kama Gurumo....Gurumo ana nyumba analia umaskini na anadhani kiwa anahitaji gari
It goes down kwa mtu mwenyewe na priorities zake...sikubaliani naye pia.anavyoilaumu serikali...kama alivosema The Boss ni kwamba alikuwa na fursa nyingi hakuzitumia..au labda ndo alijenga na ndio alikoishia hapo....ila kwa mwanamuziki wa calibre yake angeweza kwenda mbali zaidi.
Dokta Remmy wakati wa uhai wake aliwahi kuhojiwa na Channel Ten, alisema "usione kiuno changu kimepooza, kimepooza na mengi. Enzi zetu tulikuwa tunakula papuchi bila uoga wa ugonjwa wa AIDS. Tulikuwa na STDS tu ambazo ukimeza rangi tatu kwisha".Huwezi kufaidi kila kitu,
Mzee Gurumo wa Msondo Ngoma alifaidi totoz, maisha ya starehe na anasa;
Mwisho amekosa mali, sijui hata kama nyumba anayo na kama ipo ni kibanda tu.
........Wanasema ..........mwache aponde mali ...........
Kwanza hata hiyo miguu ya kukanyagia mafuta na breki anayo?unadhani huyu mzee hata hiyo gari aliyopewa na diamond kwasasa ataifaidi/fanyia nini? ya kumpeleka kwenye matibabu ama?
Kwanza hata hiyo miguu ya kukanyagia mafuta na breki anayo?
unadhani huyu mzee hata hiyo gari aliyopewa na diamond kwasasa ataifaidi/fanyia nini? ya kumpeleka kwenye matibabu ama?
^^
Hakuna jambo gumu maishani kama kutumia starehe vizuri
^^
Kwanza aajiri dereva, pili anunue wese + foleni za dar, tatu kuna service na maintanance costs nyinginezo kama ulinzi, hujaweka Insurance, Road license nk, nk, nk.....from there tuje kwenye faida sasa.
unadhani huyu mzee hata hiyo gari aliyopewa na diamond kwasasa ataifaidi/fanyia nini? ya kumpeleka kwenye matibabu ama?