Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
ndo maana rafiki ngoja tuwakamue tu hawa wasukuma, mpaka future ya watoto wetu ieleweke.kwa kweli umenivunja mbavu, mie sijawahi kuona mama anaeweza kufanya upuuzi na maisha ya watoto wake aisee, huyo mama atakuwa sio mzima, lakini hawa baba zetu hawa, ni hatari.
si unaona wamama wanavyojazanaga kwenye kutafuta shule nzuri za watoto wao? unadhani nani anatoa ada? baba.
Mambo ya baadae kumfanya mbwa wa kizungu wakati hakushiriki kutengeneza future za hao wazungu hakuna