Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Hawa waliojipata hawawez kumsahau ma Ex aliyewavumilia wakat hawajajipata
Hawaijui hii point hawa mpaka wakishapigwa mimba anakuja kugundua jamaa ana mke na watoto 8 na picha anamwonyesha kisha anamwambia hio mimba nenda katoe
 
Unaolewa na potential ya mtu, unaangalia baada ya miaka flan huyu ninavyomwona atakuwa wapi? Hawa waliojipata hawawez kumsahau ma Ex aliyewavumilia wakat hawajajipata
usiongee kama ni kitu ambacho hakitokei kwenye jamii kila siku watu wanatarakiana mwanaume kapata pesa anasahau mkewe anatafuta wa nnje
 
Ndoa ni majaliwa, maisha ni Mipango lakini unapopanga Mungu naye anapanga yake...

Punguza ukali wa maneno usije sema haukuonywa.
Huyo unayemnyanyapaa pengine Yuko genuine kuliko huyo unayemuona ni age mate wako. Huyo age mate wako naye ana mtu anaye muona anamfaa zaidi yako.

Be careful
 
Ndoa ni majaliwa, maisha ni Mipango lakini unapopanga Mungu naye anapanga yake...

Punguza ukali wa maneno usije sema haukuonywa.
Huyo unayemnyanyapaa pengine Yuko genuine kuliko huyo unayemuona ni age mate wako. Huyo age mate wako naye ana mtu anaye muona anamfaa zaidi yako.

Be careful
Ni kweli kipengele anacho singlefaza broken bora asingekuwa singlefaza akawa broken
Niteseke na umaskini niteseke na drama za baby mama
 
Akili za kitoto raha sana, anataka mwanaume mwenye pesa hali yakua yéyé hana pesa,
Subiri baadae ya miaka 5 utashangzwa na maendeleo ya huyo jamaa unamkataa,
 
Na kama mwanaume. Hasapoti reforms huyo hakufai pia... Hata kama anajimudu mkate tu
 
Jibu unalo kwenye uzi wako
Kila mtu apambanie anapopaweza,huyo umemshindwa tafuta mliyezidiana miaka miwili muanze from 0 na asiye na mtoto

Sijui kama unajua lakini suala la mafanikio haliangalii umri,unaweza kuwa mtafutaji na usipate hata uwe na miaka 40

Kwa upande wako
Yupo mtu anakushangaa una miaka 27 hujaolewa
Yupo mtu anakushangaa una miaka 27 lakini bado una akili za kitoto za kutarajia kupata mwenza mwenye uwezo kipesa(atakayebeba shida zako)
😕😕😕😕Leo umetumia akili kidogo mrembo wangu
 
Mwamba kabakiza ngapi afike 40??

Angekuwa mwanao au dada ako ungemshauri aende kwa kijana wa hivyo especially mtu ni single faza

Kama ninyi mnavyokataa single maza na sisi tunakataa single faza broken
Je wewe hali yako ya kiuchumi ikoje. Sio na wewe ni naomba hela ya vocha halafu unaona wengine unawaona hawana kitu wakati wewe hauna chochote.
 
Akili za kitoto raha sana, anataka mwanaume mwenye pesa hali yakua yéyé hana pesa,
Subiri baadae ya miaka 5 utashangzwa na maendeleo ya huyo jamaa unamkataa,
Kwaiyo hiyo miaka mimi nitakuwa nimekaa tu sitafutii.. uzuri Mungu si Athumani
 
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??

Shida ni kwamba wanaume wenye hela hawawezi kutoa ofa ya kumuoa mtu kwa urahisi
 
Je wewe hali yako ya kiuchumi ikoje. Sio na wewe ni naomba hela ya vocha halafu unaona wengine unawaona hawana kitu wakati wewe hauna chochote.
Kwa umri wangu niko standard ninazo za kunitosha mimi
 
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Haqyanani😂😂😂😂😂
 
ila shogaa,,utafika mbinguni ukiwa hoi kuliko hoi yenyewe
 
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Kwani wanaoa kweli bado au wanakupiga sound tu?
 
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Bora uje kwangu tuanze maisha mimi nipo na 30yrs nipo kwa wazazi nawaza natokaje hapa
 
Back
Top Bottom