Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Huyo kijana mwenzio ana 29 au 30?
Sasa ana tofauti gani na mwamba?
Mwamba kabakiza ngapi afike 40??

Angekuwa mwanao au dada ako ungemshauri aende kwa kijana wa hivyo especially mtu ni single faza

Kama ninyi mnavyokataa single maza na sisi tunakataa single faza broken
 
Nyote sawa, kama na Ke hana kitu basi hana ubavu wa kumdiss mwamba.

Mwanamke ukiwa above 25 yrs hakikisha na wewe una vinoti vijana wa hovyohovyo wasikusogelee.

Mpaka mtu broke namna hiyo anakufata means kaona anakumudu na kweli unakuta umemkubali na kaipekenyua mara kadhaa, sasa hapo nyote mnakua kapu moja.
Kwakweli ameshaona mimi nina kazi anataka ajichomeke hapo tusaidiane kulea mwanae..
single faza broken hakubaliki
 
Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Tunakusubiria ukikaribia kufika MENOPAUSE
 
Mwamba kabakiza ngapi afike 40??

Angekuwa mwanao au dada ako ungemshauri aende kwa kijana wa hivyo especially mtu ni single faza

Kama ninyi mnavyokataa single maza na sisi tunakataa single faza broken
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila kumbuka Mwanamke anaishi kwenye namba, tofauti na sisi Wanaume.

Ukigonga 35 menopause hiyo inaanza Kuita, uvimbe na nyuzi nyuzi.

Ni maisha yake
 
Back
Top Bottom