Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Wewe Una nini kwani? Wanawake akili zenu zinashangaza Sana unataka mwanaume alie na kitu ilihali wewe huna kitu unataka mwamba aanze kuteseka kubeba majukumu ya Baba yako, na Bora ukatae kweli kuliko ukamkubali jamaa uende kumtapeli hata hicho kidogo alichonacho
 
Kitaalamu ni kuwa huyo mwanaume amekuzidi kimaisha .

Miaka 28 na miaka 34 ni the same age hamjapishana .

Na kitaalamu wewe umemzidi huyo mwanaume miaka kwakuwa mwanaume anabidi kuoa mwanamke at least aliyemzidi miaka 10-12

Kuhusu kuwa na mtoto Kama single father means tayari yupo katika safe side .

Kuwa financial broke - hii sio swala la kumlaumu kwakuwa Tanzania Economy is very unpredictable.

MTU unayemuona Leo Ana uchumi mzuri he or she gonna be broke after one o two years.

Nadhani hoja yako ingekuwa Kama jamaa hakupendi , sio mwaminifu n.k

Ila hizo sababu ulizotoa hazina mashiko
 
Kama wewe una kazi ya kueleweka inatosha kusogeza Maisha mbaya zaidi ni kwamba kama wote mko chini kifinincial
 
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Popote kambi kikubwa kuelewana. Unaweza mwelewa na mkafanya maisha. Kesho ya mtu ni fumbo kikubwa tu kama.ana jitambua na kujitafuta mwelewe
 
IMG_3143.jpeg
 
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Salamu ya Kibabe sana.
NRNE
 
Back
Top Bottom