Basi kama ni hivyo unafa kuwa wangu wa piliKwa umri wangu niko standard ninazo za kunitosha mimi
Basi kama ni hivyo unafa kuwa wangu wa piliKwa umri wangu niko standard ninazo za kunitosha mimi
Sasa umeleta Uzi wa nini hapa kumsimanga jamaa wakati Yupo wa saiz yako 😄Nimgande anioe wakati yupo kijana mwenzangu anajitafuta anataka kunioa hata ya mkeka mkuu
Hawa form six bora vyuo vifunguliwe warudi darasani tuKwa umri wangu niko standard ninazo za kunitosha mimi
Lamomy wewe uchumi haujakuchumu 😂😂 LamomyTofauti yako na da Mau kidogo wewe wanaume hawachukui nyota yako..!!
Ongea na vishu mtata myajenge kadogo2Yaani kila nikiona call yake nachukia maana nitaanza kusimuliwa matatizo yake sijui hana hela uwiiii mimi mwenyewe nina stress zinanivuruga halafu nae ananishirikisha zake
Popote kambi kikubwa kuelewana. Unaweza mwelewa na mkafanya maisha. Kesho ya mtu ni fumbo kikubwa tu kama.ana jitambua na kujitafuta mweleweNo reforms no election
Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda
Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7
Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote
Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Wewe mkorofi kuna moja umeisahau hapo 😹😹😹
Mna pilika km za pimbi 😹😹
Salamu ya Kibabe sana.No reforms no election
Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda
Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7
Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote
Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Yeye mwenyewe hana kitu ila anataka kulalamikia wengineNyote sawa, kama na Ke hana kitu basi hana ubavu wa kumdiss mwamba.
Nimgande anioe wakati yupo kijana mwenzangu anajitafuta anataka kunioa hata ya mkeka mkuu