Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,865
- 89,791
Sio 27 huyu ana 29 sasa hivi
Mwenye uzi kasema single father ana 34 na kazidiana nae miaka 7
Sasa hiyo 29 ni ya kwako
Sio 27 huyu ana 29 sasa hivi
Njoo nikuonesheDudu ni nini
Wewe jua ni 29 anakupanga tuMwenye uzi kasema single father ana 34 na kazidiana nae miaka 7
Sasa hiyo 29 ni ya kwako
Ndio hivyo mambo ya kuja kulea mwanaume na watoto wake hapanaHahaha mambo ya life insurance
Tuma picha kwa faida ya wana mumuNjoo nikuoneshe
Wazee wa ramli chonganishiSio 27 huyu ana 29 sasa hivi
Njoo ww ndio una takiwa kuona na sio hao wengineTuma picha kwa faida ya wana mumu
Nataka nimkaushiee tu nisirespond chochoteMwambie atafute wa age yake wewe bado haupo tayari kwa ndoa
Nawao wamesema wanataka kujuaNjoo ww ndio una takiwa kuona na sio hao wengine
Sio broken sema brokeNo reforms no election
Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda
Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7
Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote
Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
🤣🤣🤣😂 Ety uchumi umewachumu 😂 bc mm uchumi umenitoa uvulana wangu
Hapo safi, baada apambanie maisha yake anapambania mapenzi duh! Wanaume hawaNataka nimkaushiee tu nisirespond chochote
Mkuu hujanilipia tuisheni ya english koziSio broken sema broke
Unaolewa na potential ya mtu, unaangalia baada ya miaka flan huyu ninavyomwona atakuwa wapi? Hawa waliojipata hawawez kumsahau ma Ex aliyewavumilia wakat hawajajipataNo reforms no election
Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda
Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7
Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote
Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Sitaki kuoa mke wa piliWazee wa ramli chonganishi
Ananiambiaga aliumizwa sana na mapenzi sasa sijui hajakomaHapo safi, baada apambanie maisha yake anapambania mapenzi duh! Wanaume hawa
Mbona sijawasikiaNawao wamesema wanataka kujua
Mkuu hujanilipia tuisheni ya english kozi
Ila c tayari ushakula pesa zake vya kutosha?Nataka nimkaushiee tu nisirespond chochote