Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Aise nimesoma thread zako za nyuma nimeishia kusikitika tu...utakua umetembea na wanaume wangapi wnaaoku promise kukuoa then wakishakutomba wanasepa...
huko chini si kutakua ni BWAWA.? ..mana Hadi ulisema umepata genital herpes unatembea na kila mtu uko desperate mwisho wa siku utaishia kitandani tu unajiuguza...tafuta mume tulia. Allah akusaidie
 
Kwakweli ameshaona mimi nina kazi anataka ajichomeke hapo tusaidiane kulea mwanae..
single faza broken hakubaliki
Mbona nyinyi mnapenda kulelewa watoto wenu na yeye ana haki umlee mtoto wake, kwani kuna shida gani ukimlea mtoto wake?
Mtoto hana hatia wewe mlee atakuja kukusaidia mbeleni ukizeeka na anaweza kua Kiongozi mkubwa na wewe ukaramba Asali.
 
Nilijua tuh zile kampeni za usioe single maza zitaleta chuki
Ona wameanza kutegeukia ma single faza
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
 
Maskini, anamkashifu mwaskini mwenzake, badala ya kujua namna ya kutoka kimaisha
 
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Umekuja kuomba msaada au umekuja kutuchamba wababa huku


Wewe kadogo hebu tulia penzi huota popote pale akipenda mtu hawezi ona anateseka sijui maisha nini wote sisi mwisho wetu ni ule ule uwe ulioa, ukaolewa una majumba na tajiri mkubwa shida iko palepale
 
Huu umri wewe ni mshangazi na ukute sura imekukomaa kama nyanya chungu lakini kila siku kuchagua wanaume, endelea kuchagua adi pale uchi wako utakapokuwa kama kisepe cha mtoto kikojozi.
 
Kukubali au kukataa ni jukumu lako, ila sawa tumeelewa unataka ambaye ameshafanikiwa
Swali ni je, wewe unaenda na nini?
 
Mtu si nyau, narudia Tena mtu si nyau asiefaa kafaa. Nimemaliza
#Mtaji pumzi, usimkatie tamaa mwanaume anaepumua
 
Back
Top Bottom