Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Unaonekana wewe unafikira za kuwa ukiolewa basi wewe ukainjoyi tu mdada wewe ukome kabisa hata huyo kijana unaemtaka tafadhari usimsogelee ushindwe na ulegee. Kama unaona mwenzio Hana kazi ya kueleweka na tiyari kashakupenda wewe huoni utaenda kuwa chachu ya mafanikio yake tena ukiwa mshauri mfariji! Mpuuuzi wewe kwanza niombe msamaha nisije nikafika mbali.
😂😂😂😂 akaoe baby mama wake
 
Yeah hata huyu japo hatujaanza ku date ila nishaona red flags nyingi yaani hapa alipo kashachanganyikiwa umri umeenda Hakuna cha maana alichokifanya basi kila ukiongea nae yeye ni kulalamika sijui nina stress kichwa kinauma sijui kazi hivi yaani Hakuna ile raha ya kuongea na mtu et mimi sasa nianze kumpa mtu moyo na hapo umri wote huo 34 bado apate drama za baby mama

Kibaya zaidi akipiga simu hujapokea anaanza kukulaumu yaani hakupi ile hamu ya kuongea nae unabaki kusema huyu sio bure ndio maana umemkuta single
Sasa si bora huyo 34 mimi wangu alikuwa bado kama miaka miwili au mitatu afike 40, sasa akimixx zile stress za kutojipata, malezi ya mtoto wake na wazazi wake yeye mwenyewe akichanganya na kazi, hapo unaweza ukamuuzi kidogo ila hasira zotee atakumalizia wewe, chakufia nini nimemuacha atafute watu wazima wenzie, siwezi kumvumilia mtu alafu anakuja kunimalizia stress zake zote mie
 
Dada hao ndo waoaji kama ana hustle za akili chukka huyo muweke mikakati sisi wa umri wako. Asilimia 90% sio waoaji ila mipango ipo. Istoshe hio umri wake ndo wakutoboa mda wowote kama mvua za masika
 
Sasa si bora huyo 34 mimi wangu alikuwa bado kama miaka miwili au mitatu afike 40, sasa akimixx zile stress za kutojipata, malezi ya mtoto wake na wazazi wake yeye mwenyewe akichanganya na kazi, hapo unaweza ukamuuzi kidogo ila hasira zotee atakumalizia wewe, chakufia nini nimemuacha atafute watu wazima wenzie, siwezi kumvumilia mtu alafu anakuja kunimalizia stress zake zote mie
Duuh yaani huyu hata sijamkubali yuko hivi nikimkubali je
 
Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Jibu unalo kwenye uzi wako
Kila mtu apambanie anapopaweza,huyo umemshindwa tafuta mliyezidiana miaka miwili muanze from 0 na asiye na mtoto

Sijui kama unajua lakini suala la mafanikio haliangalii umri,unaweza kuwa mtafutaji na usipate hata uwe na miaka 40

Kwa upande wako
Yupo mtu anakushangaa una miaka 27 hujaolewa
Yupo mtu anakushangaa una miaka 27 lakini bado una akili za kitoto za kutarajia kupata mwenza mwenye uwezo kipesa(atakayebeba shida zako)
 
Jibu unalo kwenye uzi wako
Kila mtu apambanie anapopaweza,huyo umemshindwa tafuta mliyezidiana miaka miwili muanze from 0 na asiye na mtoto

Sijui kama unajua lakini suala la mafanikio haliangalii umri,unaweza kuwa mtafutaji na usipate hata uwe na miaka 40

Kwa upande wako
Yupo mtu anakushangaa una miaka 27 hujaolewa
Yupo mtu anakushangaa una miaka 27 lakini bado una akili za kitoto za kutarajia kupata mwenza mwenye uwezo kipesa(atakayebeba shida zako)
Sio 27 huyu ana 29 sasa hivi
 
Jibu unalo kwenye uzi wako
Kila mtu apambanie anapopaweza,huyo umemshindwa tafuta mliyezidiana miaka miwili muanze from 0 na asiye na mtoto

Sijui kama unajua lakini suala la mafanikio haliangalii umri,unaweza kuwa mtafutaji na usipate hata uwe na miaka 40

Kwa upande wako
Yupo mtu anakushangaa una miaka 27 hujaolewa
Yupo mtu anakushangaa una miaka 27 lakini bado una akili za kitoto za kutarajia kupata mwenza mwenye uwezo kipesa(atakayebeba shida zako)
Bora nipambane tu mkuu hizo singlefaza ni stress
 
Back
Top Bottom