Tuongee tu ukweli uwe single faza na huo umri halafu uwe apeche alolo then utake kuoa binti mdogo wa watu ni kumnyanyasa tu wewe chukua single maza muwe ngoma drooKwa kuroga sawa japo nasisi tunajikoki
Unamponza mwenzio kisa wewe una mme!!Hata mimi nakushauri usikubali
Mimi pia ex wangu, alikuwa kanizidi 15years yaani kwanza haongelei hilo swala la ndoa, makasiriko yake ya maisha anakuja kunimalizia mimi mh! Nikaona bora nimpe nafasi apate mtu sahihi, ni heri nisubiri kama ntapata wa age yanguKwakweli wao si wanasimanga single maza ila ukija upande wao wanateteana broken single faza
Aah bailojia ya wapi mkuuUna miaka 25 + 10 = 35 Menopause hii hapa
Aaah bora afe na utamu wake kuliko hiyo dipresheni.🤣🤣🤣Una miaka 27 ambayo baada ya miezi 6 utakuwa na 28.
Ukicheza kidogo tu, unaangukia ghorofa tatu huku jina lako linabadilika na kuitwa Mshangazi.
Sasa Mshangazi wewe:
1) Pesa huna
2)Mume huna
3)Watoto huna
4)Ramani huna
5)Connection huna
Sasa si bora tu, uyajemge na mwamba Ili mjue mnatoboaje mkiwa pamoja?
Sina mume wala mpenzi kwasasa nasubiri wakati wa BWANAUnamponza mwenzio kisa wewe una mme!!
😁😁😁Una miaka 27 ambayo baada ya miezi 6 utakuwa na 28.
Ukicheza kidogo tu, unaangukia ghorofa tatu huku jina lako linabadilika na kuitwa Mshangazi.
Sasa Mshangazi wewe:
1) Pesa huna
2)Mume huna
3)Watoto huna
4)Ramani huna
5)Connection huna
Sasa si bora tu, uyajemge na mwamba Ili mjue mnatoboaje mkiwa pamoja?
Yeah hata huyu japo hatujaanza ku date ila nishaona red flags nyingi yaani hapa alipo kashachanganyikiwa umri umeenda Hakuna cha maana alichokifanya basi kila ukiongea nae yeye ni kulalamika sijui nina stress kichwa kinauma sijui kazi hivi yaani Hakuna ile raha ya kuongea na mtu et mimi sasa nianze kumpa mtu moyo na hapo umri wote huo 34 bado apate drama za baby mamaMimi pia ex wangu, alikuwa kanizidi 15years yaani kwanza haongelei hilo swala la ndoa, makasiriko yake ya maisha anakuja kunimalizia mimi mh! Nikaona bora nimpe nafasi apate mtu sahihi, ni heri nisubiri kama ntapata wa age yangu
😁😁Hata wenzako walisema hivohivo, sasa hivi wanatafuta anayepumua tu.
😂😂Tofauti yako na da Mau kidogo wewe wanaume hawachukui nyota yako..!!
Wakati wa "Bwana" ndio huu. Kumbuka kuna jua kuzama.Sina mume wala mpenzi kwasasa nasubiri wakati wa BWANA
Yeah hata huyu japo hatujaanza ku date ila nishaona red flags nyingi yaani hapa alipo kashachanganyikiwa umri umeenda Hakuna cha maana alichokifanya basi kila ukiongea nae yeye ni kulalamika sijui nina stress kichwa kinauma sijui kazi hivi yaani Hakuna ile raha ya kuongea na mtu et mimi sasa Unianze kumpa mtu moyo na hapo umri wote huo 34 bado apate drama za baby mama
Kibaya zaidi akipiga simu hujapokea anaanza kukulaumu yaani hakupi ile hamu ya kuongea nae unabaki kusema huyu sio bure ndio maana umemkuta single
Kwani ni mashindano?Tuongee tu ukweli uwe single faza na huo umri halafu uwe apeche alolo then utake kuoa binti mdogo wa watu ni kumnyanyasa tu wewe chukua single maza muwe ngoma droo
pole kama umeumia ila hayo maneno yasome mara mbili mbili uyaelewe.
pole kama umeumia ila hayo maneno yasome mara mbili mbili uyaelewepole kama umeumia ila hayo maneno yasome mara mbili mbili uyaele
Si ndio urafikiKwani ni mashindano?
YaaniUkiskia date nae ndo ujue kwanini ulimkuta single ndo hii sasa
26Wewe una umri gani?