We dada utakuwa mtu mzima, maana si kwa busara hiziKuna waume za watu huzalisha huko na hawataki wake zao wajue, wao wanapeleka hela tu. hela si kila kitu, mtoto atakumbuka ulivyompeleka hospitali akiwa na homa kali.
Hata kama ulitoa hela waende Agha Khan mtoto anamkumbuka mama yake waliye lala nae pale si mlipa bill