Pole sky eklat,
In fact hili suala siku zote ni complex na ni non directional.
Hence, no one to point a finger at but every case is special and need research and its specific solutions
This is a fact,
Mimi kwa mfano,nilikuwa na mchumba angu,nikamlipia na mahari kabisa,akiwa na ujauzito!
Mke wangu mtarajiwa akiwa na ujauzito mkubwa kabisa,(kama miezi 7) kwa ushahidi usio na shaka aka-date na mwanaume mwingine!
Nilipombana sawa sawa kwa evidences akakiri kuwa kweli ali-date na jamaa mwingine,lakini ni shetani tu alimpitia!
Nikaamua kuahirisha ndoa,na kujinyamzia kimyaaa,naendelea kusikilizia hivi huyu mtoto ni wa kwangu kweli au niliambiwa tu kuwa ni wa kwangu?
Sasa katika kipindi chote hiki cha kusikilizia uhalali wa mtoto,matusi,kejeli na dharau nyingi zinavuma kunijia,(kwa kuwa sitoi pesa ya matunzo ya mtoto)
Lakini mama mtoto ananilaumu na kuniambia atamsimulia mtoto namna nisivyomtunza,lakini hasemi kuwa atamsimulia namna alivyonisaliti kikatili tena akiwa na mtoto tumboni!
Baadhi ya wanawake daaah.....