Wanaume msiolea watoto wenu msitegemee upendo wao

Wanaume msiolea watoto wenu msitegemee upendo wao

Inasikitisha sana...kuna familia moja niliitembelea muda kidogo baba alipata pesa miaka hiyo baada ya muda pesa ikakata akatelekeza familia,mama ameachiwa watoto 6 ndio anapambana yeye mwenyewe bila msaidizi kuwahudumia kwa chakula na kila kitu,mbaya zaidi kuna siku inapita wanakula mlo mmoja...ni hatari sana.
 
Sasa kama baba ulijua kuwa mama atalea mtoto wake mwenyewe na ukamuacha kwanini baadaye urudi kutaka huyo mtoto? Na kweli wonders shall never end.
Kwani baba ndio alikutuma ujitie kiburi, yani utengeneze tatizo halafu lawama umbebeshe mtu mwengine. Za wapi hizo?

Mkikaa mnadangayana mume sio lazima unavimba na jeuri life likikupiga ndio urudi kujifanya unaujua umuhimu wa baba. Mtaendelea kulea watukutu kwa ujinga wenu, au unadhani baba na mamayako kuishi pamoja walikuwa wajinga.
 
Kwani baba ndio alikutuma ujitie kiburi, yani utengeneze tatizo halafu lawama umbebeshe mtu mwengine. Za wapi hizo?

Mkikaa mnadangayana mume sio lazima unavimba na jeuri life likikupiga ndio urudi kujifanya unaujua umuhimu wa baba. Mtaendelea kulea watukutu kwa ujinga wenu, au unadhani baba na mamayako kuishi pamoja walikuwa wajinga.

Wanawake tunaojielewa tunasema hivi kuliko tuolewe na wanaume wazinzi na waonevu ni bora tusiolewe kabisa na tusizae kabisa au tuzae tu bila kuolewa period

Baba yangu hakuwa mzinzi wala muonevu halafu ni nani aliyewadanganya kuwa utukutu wa mtoto unategemea na idadi ya wazazi aliolelewa nao?

Mbona kuna watoto wamelelewa na both parents lakini wamekuwa watukutu walioshindikana na kuna watoto wamelelewa na single parents lakini wamekuwa waadilifu wanaojielewa?

Halafu mbaya zaidi eti wanaolaumiwa ni single mothers tu ila single fathers hawalaumiwi hata siku moja no matter what the circumstances na ndo maana mimi kila siku nawaambia acheni kukariri maisha hayana kanuni moja na siku mtakapolitambua hili basi mtaacha kuteseka
 
Tofauti zenu inabidi mziweke pembeni kwa ustawi wa watoto.

Mzazi mwenza unakuta hata kupokea simu yako ni shida, unaanza kumbembeleza kwa text mara anakujibu kuwa naomba usahau kuwa huna mtoto, hata hizo shaha.. hesabu kama ulitupa chooni halafu anakublock,
Unajua anafanya hayo kwa sababu sheria nyingi zinamlinda, mwishowe unakuta keshaanza kutoka na kidume mwingine,
Nikirudi upande wangu wa kiume ni kweli nilifanya mistakes ila ndo umetolewa msamaha wa kinafki

Usije ukaona Wanawake wanalialia wametelekezewa watoto ni asilimia chache sana ya me wanafanya hivyo bila sababu genuine.
 
Wanaume wachache wanakimbia familia sio kwa kuwatelekeza bali kwa ugumu wa maisha anakimbia ili akatafute maisha na akiyapata anarudi home ili achukue familia anakuta tayar mwanamke keshazalishwa tena kumamake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kukimbia ni nini mkuu?

kukimbia ni kuondoka bila taarifa kwa kigezo kuwa umeenda kutafuta Maisha,tena ukifika huko hata mawasiliano hakuna au kutuma matumizi kwa familia yako mara moja moja

ila kama umeaga mmekaa pamoja mkukubaliana uondoke ukasake Maisha upande mwingine huwezi angukia kwenye kundi la wakimbiaji

asa we unaondoka kimya kimya fu unataka mkeo aelewe kuwa umeenda kutafuta Maisha,nani kasema?

je kama umekufa huko?
 
Mzazi mwenza unakuta hata kupokea simu yako ni shida, unaanza kumbembeleza kwa text mara anakujibu kuwa naomba usahau kuwa huna mtoto, hata hizo shaha.. hesabu kama ulitupa chooni halafu anakublock,
Unajua anafanya hayo kwa sababu sheria nyingi zinamlinda, mwishowe unakuta keshaanza kutoka na kidume mwingine,
Nikirudi upande wangu wa kiume ni kweli nilifanya mistakes ila ndo umetolewa msamaha wa kinafki

Usije ukaona Wanawake wanalialia wametelekezewa watoto ni asilimia chache sana ya me wanafanya hivyo bila sababu genuine.
Ukiwa kama mzazi tafuta wazee wakusaidie ili uweze kumhudumia mtoto wako. Mjomba au baba yako anaweza kuwasiliana na wazazi wa binti mkae kikao.
 
BABA atabakia kua baba tuu hatamkatae vipii hilo ni biologicaly ukipinga utakua ni upumbavu wako tuuu..

Wakati mnapanua hamkujua kuna option zaidi ya moja kwenye malezi.?! Mnajenga chuki kwa watoto sababu ya ujinga wenu binafsi na visasi vyakipuzi..

Hasira zako husiamishie kwa watoto..uliyataka mwenyewe
hivi mtoto ni matokeo ya mwanamke mwenyewe au hiyo imekaaje hapo jamani?

binafsi nachukia sana phrases za kudharaulisha wanawake kama wakati mnapanua,for God sake mkuu

una watoto wa kike wewe?single mothers kwenye ukoo wenu wote hawapo?

lakini pia mkuu ni kweli baba ni baba hilo halipingiki

lakini tunapaswa kufahamu kuwa kuna baba bora na bora baba

mkuu bond kati ya mzazi na moto inajengwa,haiji just for the sake of you being a biological father,ndio maana kuna watoto wanelelewa na watu ambao sio wazai wao,afu baadae wazazi wao wakijulikana,inabaki tu kwa maneno kwamba hawa ni wazazi wakunizaa lakini upendo huwaelekea wale waliomlea.
 
hivi mtoto ni matokeo ya mwanamke mwenyewe au hiyo imekaaje hapo jamani?

binafsi nachukia sana phrases za kudharaulisha wanawake kama wakati mnapanua,for God sake mkuu

una watoto wa kike wewe?single mothers kwenye ukoo wenu wote hawapo?

lakini pia mkuu ni kweli baba ni baba hilo halipingiki

lakini tunapaswa kufahamu kuwa kuna baba bora na bora baba

mkuu bond kati ya mzazi na moto inajengwa,haiji just for the sake of you being a biological father,ndio maana kuna watoto wanelelewa na watu ambao sio wazai wao,afu baadae wazazi wao wakijulikana,inabaki tu kwa maneno kwamba hawa ni wazazi wakunizaa lakini upendo huwaelekea wale waliomlea.
Mimi hata nikiambiwa baba yangu si my biological father, I will still love him for his love.
 
Mimi hata nikiambiwa baba yangu si my biological father, I will still love him for his love.
The same to me kama akija mwingine ndo nikaambiwa ndo my biolohical father,tutasameheana tu ntamuheshimu na kumpenda kama wanadamu wenzangu wengine lakini ile mapenzi ya mtoto kwa baba anisamehe tu

yaani Maisha yangu yote nimespend nawaona baba na mama yangu,wakiwa na mimi kwenye good and hard times,afu aje leo mtu from nowhere eti mi mama au baba yako wa kukuzaa,hapana kwa kweli atanisamehe bure tu.
 
Mbona baba angu hakunilea na bado nampa msaada?

Hili jambo limekaa ki personal zaidi, inategemeana na roho na uwezo wako.

Umesahau uzi aloleta jamaa mmoja hapa akiuliza ni vipi watu wengine tumeweza kuishi na baba zetu?

So kuishi ama kutoishi na mzazi sio kigezo cha mtu kumsaidia huyo mzazi pindi anapokuwa na tatizo.
 
Wanaume wachache wanakimbia familia sio kwa kuwatelekeza bali kwa ugumu wa maisha anakimbia ili akatafute maisha na akiyapata anarudi home ili achukue familia anakuta tayar mwanamke keshazalishwa tena kumamake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sasa wewe umeniacha hali ngumu..kwann nisiolewe kama kajitokeza anaeweza kutunza mtoto watoto wangu eti nikae nisubiri kitu ambacho sina uhakika nacho. khaaaah makubwa...ni sawa na kumsubir mwanaume au mke alieenda china miaka 5 kusoma eti akirudi mtafunga ndoa...NDOTO.
 
Hii assigment imekuwa ngumu esp kwa wababa wa ki Tz akikosa access ya kulala na mama mtoto na mtoto hapati matunzo wala haki zake kabisa.
Tena anakuacha na mtoto anaenda kuoa, baadae anakwambia usinipigie simu mimi ni mume wa mtu. Lakini akileta 20,000 na kipande cha jamaa anataka aku chop chop pia.
 
Hii assigment imekuwa ngumu esp kwa wababa wa ki Tz akikosa access ya kulala na mama mtoto na mtoto hapati matunzo wala haki zake kabisa.
Hahahahah yebaba
So anakuwa anambania hela ya matumizi kisa kanyimwa kitumbua?ila inavyofahamika wazazi wakiachana it means yanabaki mahusiano ya watoto tu,why mwanaume atake kumkula mwanamke ambaye ashamwacha na huenda ashaoa mwanamke mwingine?
 
Hahahahah yebaba
So anakuwa anambania hela ya matumizi kisa kanyimwa kitumbua?ila inavyofahamika wazazi wakiachana it means yanabaki mahusiano ya watoto tu,why mwanaume atake kumkula mwanamke ambaye ashamwacha na huenda ashaoa mwanamke mwingine?
Hasa mama awe hana kazi anajua anamtegemea 100%, kodi atalipa kwa masimango, kitumbua ale na usimtafute mpaka yeye akutafute.
 
Back
Top Bottom