Wanaume msiolea watoto wenu msitegemee upendo wao

Wanaume msiolea watoto wenu msitegemee upendo wao

Na ndo tumewaachia huko sasa sisi Ndukiiiii🏃🏃🏃🏃

Vaa condom kama hutaki mtoto...yaani uko irresponsible afu una defend it,,,sijui una miaka mingapi,ila nakushauri uwe single for the rest of your life,hujui maana ya kuanzisha familia na kuchukua majukumu ya kuilea na kuitunza,I bet Baba yako alikukana, hujatokea kwenye secured home wewe umekosa upendo wa Baba/mama/familia na kuishi ndani ya familia, experience how to love and be loved by your parents and other siblings you might have,pole sana,...
 
Vaa condom kama hutaki mtoto...yaani uko irresponsible afu una defend it,,,sijui una miaka mingapi,ila nakushauri uwe single for the rest of your life,hujui maana ya kuanzisha familia na kuchukua majukumu ya kuilea na kuitunza,I bet Baba yako alikukana, hujatokea kwenye secured home wewe umekosa upendo wa Baba/mama/familia na kuishi ndani ya familia, experience how to love and be loved by your parents and other siblings you might have,pole sana,...
sawa niko tayari kua single for the rest of my life kuliko kuishi na mpumbavu!! Ndukiiiii🏃🏃🏃
 
sawa niko tayari kua single for the rest of my life kuliko kuishi na mpumbavu!! Ndukiiiii🏃🏃🏃

Nafurahi kuona umeona mwanga kwenye post yangu na umeamua kuishi mwenyewe kuliko kusababisha maumivu kwa wengine,nakupongeza kwa uamuzi huo, mengine mbwembwe tu,lol
 
Nafurahi kuona umeona mwanga kwenye post yangu na umeamua kuishi mwenyewe kuliko kusababisha maumivu kwa wengine,nakupongeza kwa uamuzi huo, mengine mbwembwe tu,lol
Na mpango wangu ndio huo hapo bado wa tatu watakua wa 4 then me ni bata tu kwa kipindi kitachobakia sizai watoto ili waje wanisaidie baadae coz me mwnyw niko vizuri Aisee wao wakiihitaji msaada wangu watanitafuta wasipohitaji it's Ok
 
Mtoto akupende ili iweje? Huko ni kujipendekeza

Huo ni umama kwani huyo mtoto utazikwa nae

Play your part hayo mengine mwachie mtoa nafsi ndo anajua hatima yake
 
Yaani wanaume bwana mnafananisha kumwaga mbegu na kubeba mimba kuzaa na kunyonyesha? Hata Mungu aliyetuumba anawashangaa
kwani hizo mimba mnapewa na wanawake wenzenu?? bila mwanaume wewe huwezi ukaitwa mama
 
sasa kwa t

sasa kwa taarifa yako mm nimechukua kabila kwa mama na ubini wangu ni wa babu mzaa mama yaan kama baba angu asingefariki hata mahali yangu nisingetaka apewe..ni kweki kachangia mbegu ila kukua kwangu ilikua ni juu ya mama angeweza kuniua au kunitelekeza mahali but hakufanya ivo...na kwa kuingezea we dada mm baba angu alinikana kwa maandishi na sign kabisa kwenye karatasi mbele ya mjomba na babu yangu mzaa mama eti mimba si yangu...nimemsamehe. msiba wake kwangu ilikua ni kama nimefiwa na jirani tuu nilipopata taarifa baba ako alifariki nikaitika ahaa ok.

wanaume tunzeni watoto wenu.
may be ni kweli mimba ilikuwa si yake,may be mama ako alikua malaya au alimbambikiza mimba huwezi jua, lakini hata kama ni kweli huyo ni baba ako,amemwaga mbegu umezaliwa wewe,angetumia condom usingezaliwa wewe
 
Mlikuwa mmelala wakati tunaumbwa so chillax and don't even try to understand us because that's not your job
kwa nini kila siku tunaona makongamano na kampeni za kuwafariji single mothers na sio single fathers??
 
Wanaume mngekuwa mnafuata maandiko basi msingekuwa mnasaliti wake zenu bila kujali sababu yoyote ile ila huwa nawashangaa kwenye mambo kama haya ndo huwa mnakumbuka maandiko ila kwenye maswala ya usaliti mnajifanya hamyaoni maandiko yaani mnachagua maandiko ya kuyafuata na ya kuyaacha shame
lakini si ni kweli imeandikwa mwanamke mpumbavu huvunja ndoa kwa mikono yake???
 
kwani hizo mimba mnapewa na wanawake wenzenu?? bila mwanaume wewe huwezi ukaitwa mama
Kwani na wewe bila mwanamke unaweza kuitwa baba? Hapa hatuongelei kutegemeana katika kuzaa hilo linajulikana kwamba tunategemeana

Ila hapa naongelea anayepitia complications nyingi ili hatimaye mtoto apatikane ni mwanamke ndo maana nasema hauwezi kufananisha process ya kumwaga mbegu tu na process ya kubeba mimba kuzaa na kunyonyesha

Jamani hivi hilo nalo linahitaji kwenda darasani? Si ni logic tu ya kawaida hiyo? Halafu kama mnajua kuwa wanaume na wanawake tunategemeana katika uzazi na mtoto ni wa wote mbona kwenye lawama huwa mnajitoa?

Yaani lawama zinaendaga kwa single mothers tu ila single fathers ndo kwanza mnasifiwa halafu kutwa kuwasema wazungu sasa si afadhali hata ya wazungu wanaowaheshimu wanawake
 
lakini si ni kweli imeandikwa mwanamke mpumbavu huvunja ndoa kwa mikono yake???
Ndiyo kwani mie nimekataa? Mie wala sijakataa ila palipoandikwa uzinzi na uasherati ni dhambi napo umepaona au ndo umepaona hapo tu pa mwanamke mjinga kuivunja ndoa yake?
 
Mtoto akupende ili iweje? Huko ni kujipendekeza
Huo ni umama kwani huyo mtoto utazikwa nae
Play your part hayo mengine mwachie mtoa nafsi ndo anajua hatima yake
shangaa wewe mkuu kwani lazima mtoto akupende?? Kwanza me nnavojua watoto hata iweje hata uwe karibu kwa kuhudumia familia yako kwa hali mali kuanzia malezi mpaka gharama za kulea mpaka wakiwa wa kubwa bado watakupa asilimia 5 tu za kukujali wewe kama Baba 95% zote kwa Mama
So ka unamhudumia mhudumie sababu ni damu yako basi usiwe na expectation yoyote toka kwake
Huko mbeleni akija kukujali au kukupotezea fresh tu kwani nini??
 
shangaa wewe mkuu kwani lazima mtoto akupende?? Kwanza me nnavojua watoto hata iweje hata uwe karibu kwa kuhudumia familia yako kwa hali mali kuanzia malezi mpaka gharama za kulea mpaka wakiwa wa kubwa bado watakupa asilimia 5 tu za kukujali wewe kama Baba 95% zote kwa Mama
So ka unamhudumia mhudumie sababu ni damu yako basi usiwe na expectation yoyote toka kwake
Huko mbeleni akija kukujali au kukupotezea fresh tu kwani nini??
Tena haya matoto ya siku hizi hovyo kabisa. Afadhali angalau zamani kidogo ilikuwa afadhali. Mtoto asinipende anipende sijali ila nitatimiza wajibu wangu kama mzazi mpaka atakapokuwa na uwezo wa kujitegemea. Baada ya hapo hata tusiposalimiana ni sawa. Hata nife peke yangu nizikwe na halmashauri ya jiji haina noma [emoji109][emoji109][emoji109]
 
Maneno yako hutolewa na single mother wakorofi kwa wazazi wenzao na hao single mother ni kisirani cha kutokuolewa na aliezaa nae
 
Mafurushi ya hivyo baadae yanakuja na kauli kama "mzazi ni mzazi tu" kisa kaning'iza via vya uzazi.
Au atalaumiwa mama kuwa kamjaza sumu mtoto wakihisi watoto ni wajinga hawaelewi wala hawaoni kinachoendelea.
Yaan watu kama hawa wanakera sana... Sijui nani aliwaambia kuweka mimba tu kunatosha kuitwa baba? Wajiongeze! Hata njiwa tu wanazaa na kulea makinda kwa kushirikiana dume na jike, halafu binadamu anayejiita mwanaume na mwenye utashi anashindwa. Sijui wanafeli wapi.
 
Back
Top Bottom