Wanaume mnaowashika wanawake makalio na matiti Kariakoo kiama chenu kinakuja; Chalamila anawachemshia dawa

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,838
18,250
Kuna hii tabia ya wanaume kuwashika wanawake makalio na matiti kwenye sehemu za misongamano, hasa Kariakoo, ambako muda wote kuna msongamano wa watu. Mh Chalamila, RC wa Dar es Salaam anawachemshia dawa ambayo hamtakuja kumsahau. Yaani mtajuta kumfahamu.

Mara nyingi wanaume hawa huvizia kwenye msongamano wa watu, ndipo huwatomasa wanawake makalio na matiti ili kukidhi tamaa zao za kishenzi. Hivi mwanaume ukimshika mwanamke makalio, matiti na mapaja bila kufanya naye mapenzi huwa unapata raha gani? Hii tabia imekithiri sana, hasa kwenye maeneo ya vijiwe vya bodaboda na kwenye maeneo ambako wamachinga wanakusanyika.
1705564194862.png

Wanaume wengine wanachukulia mkusanyiko kama fursa. Mwanamke anapokuwa akihangaika huku na kule akitafuta mahitaji yake, hutumia fursa hiyo kutimiza ushenzi wao. Mwanaume hujifanya kama ameteleza na kuelekeza mkono kwenye titi au kalio kisha kuliminya kwa nguvu.

Pia kwenye msiongamano ya magari ya abiria, tatizo hili lipo sana. Mabasi, hasa ya Gongolamboto na Mbagala, ambayo hujaza watu kupitiliza, ni fursa nzuri kwa wanaume wenye uraibu wa kushika matiti na makalio. Na si waraibu tu bali hata dungadunga nao hutumia msongamano wa kwenye mabasi kutimiza azma zao za kishetani.

Miaka ya nyuma niliwahi kushuhudia dungadunga akiwa kazini. Wakati tukisafiri kwenye basi la Mbagala, mama mmoja alisikika akilalamika kuingizwa kitu laini cha moto na mwanaume mmoja. Wakati akishutukia mchezo ule, yule mwanaume akawa ndio anafunga mkanda na kuingiza dunga yake kwenye boxer ili kupoteza ushahidi. Bahati yake alikuwa mwanafunzi wa sekondari na alionekana akiwa amevaa uniform na akiwa na begi la shule.

Baada ya kugundua ni mwanafunzi, wanaume waliokuwa pembeni wakavunga na kumsitiri mwanaume mwenzao, huku wakimsihi mama aliyeingiziwa moto kutuliza mzuka. Wanaume kwa kulindana kwenye uovu hawajambo. Lakini na wanawake nao hulindana pia.

USHAURI
Nawashauri na kuwasihi wanaume wenye uraibu wa kudunga na kuwahika wanawake makalio na matiti muache tabia hii mara moja kwa kuwa hili jambo linaweza kuwaingiza kwenye mgogoro wa kisheria kwa kuingilia privacy ya wanawake na kuwadhalilisha hadharani. Kama mtu una ugwadu wako, tafuta mwanamke mtaani kwa maelewano mmalizanae vizuri. Tabia ya kuviziawanawake kwenye msongamano ikome.

Mh Chalamila hataki masihala kwenye eneo lake la kazi. Kumbuka tarehe 23-24 itakuwa siku ya usafi itakayosimamiwa na wanajeshi. Isije ikatokea Chalamila akaamua kubadili matumizi ya wanajeshi hao na kuanza kuwasaka dungadunga tukaja kulaumiana bure. Kila abiria achunge mzigo wake.

Pia soma:
 
Kuna hii tabia ya wanaume kuwashika wanawake makalio na matiti kwenye sehemu za misongamano, hasa Kariakoo, ambako muda wote kuna msongamano wa watu. Mh Chalamila, RC wa Dar es Salaam anawachemshia dawa ambayo hamtakuja kumsahau. Yaani mtajuta kumfahamu.

Mara nyingi wanaume hawa huvizia kwenye msongamano wa watu, ndipo huwatomasa wanawake makalio na matiti ili kukidhi tamaa zao za kishenzi. Hivi mwanaume ukimshika mwanamke makalio, matiti na mapaja bila kufanya naye mapenzi huwa unapata raha gani? Hii tabia imekithiri sana, hasa kwenye maeneo ya vijiwe vya bodaboda na kwenye maeneo ambako wamachinga wanakusanyika.
View attachment 2875278
Wanaume wengine wanachukulia mkusanyiko kama fursa. Mwanamke anapokuwa akihangaika huku na kule akitafuta mahitaji yake, hutumia fursa hiyo kutimiza ushenzi wao. Mwanaume hujifanya kama ameteleza na kuelekeza mkono kwenye titi au kalio kisha kuliminya kwa nguvu.

Pia kwenye msiongamano ya magari ya abiria, tatizo hili lipo sana. Mabasi, hasa ya Gongolamboto na Mbagala, ambayo hujaza watu kupitiliza, ni fursa nzuri kwa wanaume wenye uraibu wa kushika matiti na makalio. Na si waraibu tu bali hata dungadunga nao hutumia msongamano wa kwenye mabasi kutimiza azma zao za kishetani.

Miaka ya nyuma niliwahi kushuhudia dungadunga akiwa kazini. Wakati tukisafiri kwenye basi la Mbagala, mama mmoja alisikika akilalamika kuingizwa kitu laini cha moto na mwanaume mmoja. Wakati akishutukia mchezo ule, yule mwanaume akawa ndio anafunga mkanda na kuingiza dunga yake kwenye boxer ili kupoteza ushahidi. Bahati yake alikuwa mwanafunzi wa sekondari na alionekana akiwa amevaa uniform na akiwa na begi la shule.

Baada ya kugundua ni mwanafunzi, wanaume waliokuwa pembeni wakavunga na kumsitiri mwanaume mwenzao, huku wakimsihi mama aliyeingiziwa moto kutuliza mzuka. Wanaume kwa kulindana kwenye uovu hawajambo. Lakini na wanawake nao hulindana pia.

USHAURI
Nawashauri na kuwasihi wanaume wenye uraibu wa kudunga na kuwahika wanawake makalio na matiti muache tabia hii mara moja kwa kuwa hili jambo linaweza kuwaingiza kwenye mgogoro wa kisheria kwa kuingilia privacy ya wanawake na kuwadhalilisha hadharani. Kama mtu una ugwadu wako, tafuta mwanamke mtaani kwa maelewano mmalizanae vizuri. Tabia ya kuviziawanawake kwenye msongamano ikome.

Mh Chalamila hataki masihala kwenye eneo lake la kazi. Kumbuka tarehe 23-24 itakuwa siku ya usafi itakayosimamiwa na wanajeshi. Isije ikatokea Chalamila akaamua kubadili matumizi ya wanajeshi hao na kuanza kuwasaka dungadunga tukaja kulaumiana bure. Kila abiria achunge mzigo wake.

Pia soma:
Huyu mbwa!anatupigia makelele tu, kwenye ugumu wa, maisha haya, ye ye anaona wanawake kushikwa makalio ni shida?
 
Tabia za kina Mpaji Mungu hizi.
Mnawanawa sana watu.

Kuna siku dogo mmoja alimnawa limshangazi limoja lilikasirika hatari likaanza kumkimbiza plus matusi juu.

Ila hii tabia sio nzuri.
Wa kuwashika ni wale wapitaji😂 ukijichanganya ukampapasa tacall wale wenye meza umeisha anakuacha upite mbele kidogo anakushushia banzi mgongoni!
 
Back
Top Bottom