Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

kama hiyo picha ni yako basi mganga anafaidi Afrika mashariki na kati
 
wanakula vya watu halafu mwisho wa picha wanatangaza wanamchumba, ndipo matusi na vichambo huanza;
yaani Mwanaume unamuomba vocha, na offer zake unakula na namba unampa, lunch zake unakula tena na shida unamlilia, akikuomba mzigo unamwambia unampenz sasa huu si ni utapeli kama sio ujambazi usiotumia siraha!!!
bora uambulie matusi lakini wengine hurogwa kabisaa!!
 
Hahahahahahahaha...........hapo kwenye onyo me [emoji119]

Ila umesema kweli bhanaa wanaume mbadilike ........tabia ya kumponda mwanamke akikukataa siyo nzuri.......mnakeraaaaaa eti utasikia ooh "kwanza una sura mbaya sijui shepu nini " wakati huo lenyewe lina jisura zitooo kama uji wa mgonjwa.....kabondekaa utafikiri aliwahi kuanguka ktk ile ndege ya Malaysia akaponea chupuchupu....wanaume wa hivyo mkome nasisitiza tena mkome mkomae[emoji53] [emoji53] [emoji53] [emoji53] [emoji53]
 
Bado mnatongozwa kumbe??yaani kabisa nikuite nianze kujieleza [emoji23][emoji23] mavi maviiii siku hizi hata watoto hawatongozani na kama unatongozwa basi hauko sawa.
 
Hata mimi niimeshanga kwelikweli....yaani nimtongoze mtu kama Demiss?..ambaye ni wa kumtoa kwa kinywaji/dinner then unachapa mara moja

Huko mbona mbali Mkuu. Huyo ukimlipia tu nauli Tsh 400/= ' unaitelezesha ' yote kunako Bonde lake la Ufa.
 
Ishakuwa ni kasumba,mwanamke anahitaji ushawishi ili akubali ombi lako..wanaume ni rahisi kwa kuangalia,mwanamke anahitaji wkt mwingne ashawishiwe.so ukinikatalia leo,nitakuwa na imani bado hujanijaza vzr moyoni..kesho nakuja tena kujaribu..ni km mkulima apandae mbegu.na kuna kasumba ht jwa wanawake,ht km anakutaka lkn kwwnza lzm akukatae ili pengne usimuone mwepesi(ili kujiongeza thamani) sasa kung'ang'aniwa ni sawa tuu..labda utanipa kesho[emoji3]
 
Back
Top Bottom