Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

Unaweza ukawa Mwanamke lakini ukawa ni ' Semenya ' Mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hatukutongozi tena.....! Na usiende kwa waganga kuulizia gundu nimepata wapi........😀😀😀
 
Dunia ina watu Billion 9,wanawake wapo billion 5,wanaume wapo billion 4
Ina maana Billion moja ya wanawake hawana mtu wa kudate halafu mwanamke anajiona kuwa yeye ndo yeye,na hafikirii kuwa kila baada ya sekunde moja mwanamke anazaliwa duniani,na baada ya saa 6 ndo mwanaume anazaliwa

Na kitu wasichokijua wanawake kuwa mwanaume huwa tunafanya majaribio ya kutongoza,huwa hatupendi ndo maana tunaweza kutamka neno nakupenda kwa sekunde 10 kwa wanawake tofauti tofauti kwa muda mmoja

Wanaume hatukomolewi,bali tunakomoa
 
Acha kutongozwa na watoto wadogo wewe. Gentlemen wanakupa maximum caring mwisho wa siku unajikuta umetoa mzigo bila tongozo.

Karibu kwa Wanaume tunaojielewa utafaidi sana. Achana na hao watoto wanaonuka mkojo.
 
Msipotongozwa mnalalamika, mkitongozwa mnalalamiia ama kweli hamna Jema nyie,
 
Back
Top Bottom