Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

tatizo nazani lipo pande zote; kumtukana mwanamke si sawa, lakini pia wanawake nao kula cha MTU, yaani unamlia vyake halafu unakuja kumkataa ndio mwanzo wa kuja kudhalilishana.
[HASHTAG]#demiss[/HASHTAG]
 
Ukiona unatongozwa ujue una tamaa ya uzinzi. Kawaida Inzi hufuata Kinye(re)zi (One )
 
Back
Top Bottom