Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,765
- 126,681
Watu wenye mood mbaya kwa leo hawalipwi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahahah nan analipa posho na mm nataka jaman
Watu wenye mood mbaya kwa leo hawalipwi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahahah nan analipa posho na mm nataka jaman
Na kuna wengine ukimkataa basi ishakuwa kosa utaambulia matusi na kejeli juuu
Inaboa mnooo
Na kwann nmkubalieHalafu kwa nini umkatae[emoji3]
HatariKuna mambo mengine yanakera sana akiii! Sawa najua wanawake kutongozwa jadi yetuuu ila sasa hawa upande wa pili wanaume mnaboaaaa kama nini?
Haya sawa umeniita unitongoze najua hujui kama nina mme oky nimekusikiliza umebwabwaja porojo zakoo mpaka mwisho nimekupa jibu asante mimi nina mtu.
Kinachokera hauamini tenaa unaanza kusema sikutaki kijanja maaajabu mnaboa sana.
Kwanini saivi tukiwajibu SHORT AND CLEAR hamuamini mnapenda kuzungushwa weeeee kama nini?
Huwa napata motoo mimi hasaa pale unapoanza kumponda mpenzi wangu kama unamjua vileee mfyuuu. Ndio mitongozo ya wapi hiyo mnaboa kweli siyo siri.
Sawa umenitongoza nimekukataaa kwanini uanze kunitukana,kunisema vibaya. Kutunga maneno ya uongo uongo juu yangu? Wanaume badilikeni bhn mnaboa na mitongozo yenu.
Nije kwa hawa wanaume walioooa hawa ndo wananiboa mfano hakuna akikutongoza anakujaza masifa kedekede kama nini?
Ushawishi wenu huuu mbaya sana mnadhambi sana nyieee wanaume za watu.
Yani wanavishawishi sana hawa waume za watu mnakeraaa maneno yenu ya kujisifia na kutoa mapromise hamuoni kama mnatuweka wakati mgumu mnaboaaa bhn msiwe mnatongoza hivyo mfyuuu!
Ngoja nifanye utaratibu nianze kuvaa t-shirt zilizoandikwa "SITAKI KUTONGOZWA".
ONYO: Marufuku kumtag mganga wangu kwenye comment zenu zisizokuwa na miguu wala kichwaa wewe nijibu mm kama mimi labda niseme hivi kama ameniroga kwa uchawi wa Grade C nitamuomba aongeze limbwata hata la Grade A.
Hii tabia sio nzuri kwa kweli! Wanasema ukimpenda utamlinda sasa mimi nakusemea kwa bro kama ishara ya kukulinda. Ambiere Mshana popote ulipo hena nkima jaingia he shamba! Dunga kirinji ambiere veenda kukukondia mche!!Kuna mambo mengine yanakera sana akiii! Sawa najua wanawake kutongozwa jadi yetuuu ila sasa hawa upande wa pili wanaume mnaboaaaa kama nini?
Haya sawa umeniita unitongoze najua hujui kama nina mme oky nimekusikiliza umebwabwaja porojo zakoo mpaka mwisho nimekupa jibu asante mimi nina mtu.
Kinachokera hauamini tenaa unaanza kusema sikutaki kijanja maaajabu mnaboa sana.
Kwanini saivi tukiwajibu SHORT AND CLEAR hamuamini mnapenda kuzungushwa weeeee kama nini?
Huwa napata motoo mimi hasaa pale unapoanza kumponda mpenzi wangu kama unamjua vileee mfyuuu. Ndio mitongozo ya wapi hiyo mnaboa kweli siyo siri.
Sawa umenitongoza nimekukataaa kwanini uanze kunitukana,kunisema vibaya. Kutunga maneno ya uongo uongo juu yangu? Wanaume badilikeni bhn mnaboa na mitongozo yenu.
Nije kwa hawa wanaume walioooa hawa ndo wananiboa mfano hakuna akikutongoza anakujaza masifa kedekede kama nini?
Ushawishi wenu huuu mbaya sana mnadhambi sana nyieee wanaume za watu.
Yani wanavishawishi sana hawa waume za watu mnakeraaa maneno yenu ya kujisifia na kutoa mapromise hamuoni kama mnatuweka wakati mgumu mnaboaaa bhn msiwe mnatongoza hivyo mfyuuu!
Ngoja nifanye utaratibu nianze kuvaa t-shirt zilizoandikwa "SITAKI KUTONGOZWA".
ONYO: Marufuku kumtag mganga wangu kwenye comment zenu zisizokuwa na miguu wala kichwaa wewe nijibu mm kama mimi labda niseme hivi kama ameniroga kwa uchawi wa Grade C nitamuomba aongeze limbwata hata la Grade A.
DuuuuuuhNa kuna wengine ukimkataa basi ishakuwa kosa utaambulia matusi na kejeli juuu
Inaboa mnooo
Sawa shem lakeNitashukuru sana
pole best yangu kumbe wanakufanyiaga hivyo!Na kuna wengine ukimkataa basi ishakuwa kosa utaambulia matusi na kejeli juuu
Inaboa mnooo