Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,511
- 151,761
Demiss tatizo unamuacha mtu anabwabwaja unampa matumaini, mpaka ukimwambia una mume anakuona mzushi.
Inatakiwa kabla mtu hajaanza kubwabwaja unamkata kauli ajue you mean business.
Siyo unamuachia mtu kasha invest mashairi kuanzia ya Amiri Akida Andanenga "Sauti ya Kiza" mpaka William Shakespeare, halafu umwambie una mtu?
Atakuona mzushi tu unacheza mchezo wa "playing hard to get".
Inatakiwa kabla mtu hajaanza kubwabwaja unamkata kauli ajue you mean business.
Siyo unamuachia mtu kasha invest mashairi kuanzia ya Amiri Akida Andanenga "Sauti ya Kiza" mpaka William Shakespeare, halafu umwambie una mtu?
Atakuona mzushi tu unacheza mchezo wa "playing hard to get".