Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

Huko mbona mbali Mkuu. Huyo ukimlipia tu nauli Tsh 400/= ' unaitelezesha ' yote kunako Bonde lake la Ufa.
Naomba tuheshimiane Genta nakuheshimu sana ujueeeee tena sitaki ugomvi na wewe kama huna cha kucomment pita kushoto
 
Ishakuwa ni kasumba,mwanamke anahitaji ushawishi ili akubali ombi lako..wanaume ni rahisi kwa kuangalia,mwanamke anahitaji wkt mwingne ashawishiwe.so ukinikatalia leo,nitakuwa na imani bado hujanijaza vzr moyoni..kesho nakuja tena kujaribu..ni km mkulima apandae mbegu.na kuna kasumba ht jwa wanawake,ht km anakutaka lkn kwwnza lzm akukatae ili pengne usimuone mwepesi(ili kujiongeza thamani) sasa kung'ang'aniwa ni sawa tuu..labda utanipa kesho[emoji3]
Kuna mambo mengine unaona kabisa huyu demu hanitaki wewe unaendelea tuuu kama zuzu mfyuuuu
 
Wew bado under 26 banah ebu achana na mapovu kama ya single mazaa hahah

After futar tokea bhaja cafe tule nyama.
 
Demiss tatizo unamuacha mtu anabwabwaja unampa matumaini, mpaka ukimwambia una mume anakuona mzushi.

Inatakiwa kabla mtu hajaanza kubwabwaja unamkata kauli ajue you mean business.

Siyo unamuachia mtu kasha invest mashairi kuanzia ya Amiri Akida Andanenga "Sauti ya Kiza" mpaka William Shakespeare, halafu umwambie una mtu?

Atakuona mzushi tu unacheza mchezo wa "playing hard to get".
Yani iko hivi wanaume wanaamini kwamba mwanamke anabembelezwa muda mrefu kama mtu simtaki namkataaa na anaona kabisa hakubaliki kwangu lakini anaendelea na usumbufuuuu.
Suala linalokuja anapata hasira anaanza kukukomesha kama alikusifia wewe mzuri kama JOKATE anakubadilisha unakuwa REMY ONGALA wa kike.

Hayo yoteee yanatoka wapi mpaka wanafikia hatua ya kusema eeeh huyu demu nimemkula kwanza nilimtoa out MORENA hotel sawa.
Umeniita morena ukaniambia kuna issue nimekubali wito nimekataa maneno ukanipiga na pic bila mm kujua hapooo sasa anatumia kama fimbo kukuchapa ndo najiuliza WHY?
 
Kuna mambo mengine yanakera sana akiii! Sawa najua wanawake kutongozwa jadi yetuuu ila sasa hawa upande wa pili wanaume mnaboaaaa kama nini?

Haya sawa umeniita unitongoze najua hujui kama nina mme oky nimekusikiliza umebwabwaja porojo zakoo mpaka mwisho nimekupa jibu asante mimi nina mtu.

Kinachokera hauamini tenaa unaanza kusema sikutaki kijanja maaajabu mnaboa sana.

Kwanini saivi tukiwajibu SHORT AND CLEAR hamuamini mnapenda kuzungushwa weeeee kama nini?

Huwa napata motoo mimi hasaa pale unapoanza kumponda mpenzi wangu kama unamjua vileee mfyuuu. Ndio mitongozo ya wapi hiyo mnaboa kweli siyo siri.

Sawa umenitongoza nimekukataaa kwanini uanze kunitukana,kunisema vibaya. Kutunga maneno ya uongo uongo juu yangu? Wanaume badilikeni bhn mnaboa na mitongozo yenu.

Nije kwa hawa wanaume walioooa hawa ndo wananiboa mfano hakuna akikutongoza anakujaza masifa kedekede kama nini?

Ushawishi wenu huuu mbaya sana mnadhambi sana nyieee wanaume za watu.
Yani wanavishawishi sana hawa waume za watu mnakeraaa maneno yenu ya kujisifia na kutoa mapromise hamuoni kama mnatuweka wakati mgumu mnaboaaa bhn msiwe mnatongoza hivyo mfyuuu!

Ngoja nifanye utaratibu nianze kuvaa t-shirt zilizoandikwa "SITAKI KUTONGOZWA".

ONYO: Marufuku kumtag mganga wangu kwenye comment zenu zisizokuwa na miguu wala kichwaa wewe nijibu mm kama mimi labda niseme hivi kama ameniroga kwa uchawi wa Grade C nitamuomba aongeze limbwata hata la Grade A.
Sasa hichi tu, ndiyo unaandikia novel jamvini..??? You can't be serious..! Shithole brain..
 
Sky walker my nigga. Take five.

Mimi nina sheria moja, 0 au 1, sina neutral ground. Ninapo mu aproach mwanamke yoyote huwa nina kuwa tayari kwa majibu yotote. Mwanamke akinikubali basi naendelea. Akikataa huwa silazimishi nakubaliana na hali halisi hata kama sababu ni za kitoto maana najua effect itakuwa kwake.
Si force.. akinikataa hataniona wala kunisikia tena.. napotea mazima.
Safiii kabisa unajua jibu la kwanza ndio huwa la ukweli ila ukiendelea kumshawishi mwanamke kwa porojoo nzuri lazima umdakeee.
Binadamu hatujakamilika ujue.
 
Safiii kabisa unajua jibu la kwanza ndio huwa la ukweli ila ukiendelea kumshawishi mwanamke kwa porojoo nzuri lazima umdakeee.
Binadamu hatujakamilika ujue.
Demiss unavujisha siri ...[emoji23][emoji23]
 
Kama unatongozwa na aina ya wanaume wanaokutukana baada ya kuwakatalia na wewe ni tatizo pia. Aidha uko cheap au level ya chini.
Wewe ndo wasema kwa sababu mwanaume kuwa Demiss siku moja
 
Yaani we Dada hata ukikasilikaga nakuluba unakuwa kama unacheka yeee yaani kamoyo kangu kamekudondokea mayu,

Niletage mang'ombe magapi yaani getegete
Nilkuwa nimenuna ila nimechekaaa jinga sana weeeeeee
 
Hivi seriously siku hizi kuna mwanaume anatongoza na kusubiri ajibiwe? Me hua najikuta tu tayari niko kwenye mahusiano maswala sijui ya jibu langu au blah blah sijapitia na wala siwezi kufanya. Wapige kibuti tu hao wanatumia njia za enzi ya mwalimu.
Bora usemeee wewe wanaboaaa sana
 
Nilkuwa nimenuna ila nimechekaaa jinga sana weeeeeee
Yeeeee ya kweli kabisa kanike mayooo

Ona mpaka nachanganya .

.macho yako yakuniangaliaga hii mpaka moyo unafanya mwaaaaa

Ila nakupendaga duhu
 
sikujua kama unawakaga hv na nilitaka nije pm usiku huu, ngoja nikae kimya na li got face langu, mana mimi nikimtongoza hata ajuza mjane anasema ana mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom