- Thread starter
- #81
wala hayo maneno tuu....mfuko wa kot au rambo
Malboro
wala hayo maneno tuu....mfuko wa kot au rambo
Malboro
Nitahisi huyu mwanamke atakuwa katoka usalama wa Taifa maana haya maswali ndio kawaida yaoSimu zetu mnapoziomba huwa mnatusababishia heart attack (in small scale). Maana huwa mnapekua hata ambako hamkutakiwa....utasikia "na huyu mdada ambaye picha zake ziko nyingi ni nani"? Unabaki unajiulza huyu ameomba simu apige au akague![]()
![]()
![]()
kitu ganiMarhabaaa, unaona sasa ulichokua unataka kufanya?
team michepuko nini mkuuKila mtu akae nasimu yake
Hapo hakuna mapenzi dada, tafuta njia mbadala Lakin sio hapo ulipo utajifia bure na mawazoAsante mkuu Lakin ungeona jinsi alivyoninyonga ungenihurumia kwa kweli aiseeeee![]()
![]()
![]()
Sasa unataka nkagonge wapkwa hiyo mkitupa hela mnakuja kulipiza kwenye papuchi zetu
uchoyo tuu unawasumbua....Sasa unataka nkagonge wap
Wakat pesa yang umekula ww
Weka pc kama unabisha cowala hayo maneno tuu....
pic ya nin mwanamke ni kujiamin buanaaaaaaWeka pc kama unabisha co
Rambo
Kwani ulifikiri tunapoza machungu wapi??kwa hiyo mkitupa hela mnakuja kulipiza kwenye papuchi zetu
??mimi ni KE mkuuWw mbona ni jike dume sana ujue mm sikuelewi ohoooooo!!!!!
Wewe uliagizwa umuheshimu mwanaume,Wanaume ni wa kuishi nao kiakili yaani simu zao full michepuko ndo maana yuko tiyari kwenda nayo chooni dah duniani kuna mengi

mnajiendekeza tuuKwani ulifikiri tunapoza machungu wapi??
Kwenye misuko yenu![]()
![]()
??
Kama una uchi na mtoto ana niniusifananishe uchi wangu na vitu vya kijinga
??Nimeipenda hiyo haina mjadalakwan kipind naenda kusajili line tulisajili wote? nikiambiwa naingia jela kisa simu tutaenda wote? we tulia baki na simu yako na mim nibak na yangu
ndo mnavyosemaWewe uliagizwa umuheshimu mwanaume,
Yeye aliagizwa ampende mwanamke.
Sasa siku hizi mianamike ilivokosa geshima eti inampenda mwanaume hafu inadai kuheshimiwa, jamani![]()
![]()
![]()
Utazani inasoma vutabu vitakatifu kwa vioooo vya saloon, kinyozi ananyolea kulia, kio kinaonyesha kushoto![]()
![]()
![]()
Unajiamina kwa hlo rambo lakopic ya nin mwanamke ni kujiamin buanaaaaaa
Wanaume wote ukisema huyu hafai utatafuta sana hawapo wakutumia simu pamoja mmoja kwa mia.Sasa tutaishije Bila kuaminiana