Wanaume mna nini na simu zenu?

Wanaume mna nini na simu zenu?

nilimuomba sasa Ile nimeshika tuu akasema leta kwanza sasa namuuliza kwa nini hasemi anakimbilia kunikwida
Una bahati sana, angekukwida na vibao juu. Huna adabu kabisa.
 
wanawake kwelii mnatamaa. simu yako unayo kihere here cha simu ya mwenzako
. kama huna salio omba.

ungekuwa umeshika yangu msiba ungekuendea vizuri ata msiba ungekuwa ni wa bibi ungelia adi kamasi likutoke kwa kipigo ningekupa.
 
Wanaume ni wa kuishi nao kiakili yaani simu zao full michepuko ndo maana yuko tiyari kwenda nayo chooni dah duniani kuna mengi
 
wanawake kwelii mnatamaa. simu yako unayo kihere here cha simu ya mwenzako
. kama huna salio omba.

ungekuwa umeshika yangu msiba ungekuendea vizuri ata msiba ungekuwa ni wa bibi ungelia adi kamasi likutoke kwa kipigo ningekupa.
duuh
 
yani wakati ananinyongorota nikawa nataka kujitetea kwa kukimbia lakini ilishindikana kukimbia ikabidi tuu nimpe simu yake na sikufanikiwa hata kufanya nilichotaka kufanya kwa bahati nzuri nilifanikiwa kuchungulia kwenye call logs nikaona namba yangu hata hajaisavu...shikamoo mwanaume aiseeeee
Marhabaaa, unaona sasa ulichokua unataka kufanya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom