Wanaume mna nini na simu zenu?

Wanaume mna nini na simu zenu?

FANYA YAKO BILA KUMSHIRIKISHA AKIGUNDUA SIMU YAKE UTALALA NAYO ATAKUA MDOGO KAMA UPELE WAJOTO
 
Kila mtu anahitaji privacy na cm yake ila wanaume wamezid za kwao hawatak kabisa ziguswe ila za wake au wapenz wao utadhan ni calculator kila time wanazichungulia huo ni uselfish
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom