Wanaume mna nini na simu zenu?

Wanaume mna nini na simu zenu?

kama mpenzi wake siruhusiwi kushika simu? jaman mbna wanaume mna kera yani nimeharibu hadi valentine yangu bora ningelala home tuu
Kuna tofauti kati ya kushika na kutumia, vyote vinahitaji umakini!
Simu ya mpenzi wako siyo mpenzi wako, inabidi kama unahitaji kutumia simu ya mpenz wako umuombe na siyo kutumia ubabe, naamini hata yeye hawezi kukosa busara na kuchukua simu yako na kuanza kuibofya bofya pasipo idhini yako..!
Simu hizi zina mengi, zinahifadhi mengi!
Unaweza kumharibia hata mwenzio kazi ukakosa ugali! Jifunze kitu hapo...
 
Kuna tofauti kati ya kushika na kutumia, vyote vinahitaji umakini!
Simu ya mpenzi wako siyo mpenzi wako, inabidi kama unahitaji kutumia simu ya mpenz wako umuombe na siyo kutumia ubabe, naamini hata yeye hawezi kukosa busara na kuchukua simu yako na kuanza kuibofya bofya pasipo idhini yako..!
Simu hizi zina mengi, zinahifadhi mengi!
Unaweza kumharibia hata mwenzio kazi ukakosa ugali! Jifunze kitu hapo...
Asante mkuu Lakin ungeona jinsi alivyoninyonga ungenihurumia kwa kweli aiseeeee
 
Ukiona hvo ujue kuna
Wenzio wasiopungua 2
 
Simu ya mwanaume ni kama kitunguu MAJI ukiungalia kwa karb lazma utoe machozi!!!! Mimi waaaaaaaaaala hata kugusa tu
 
jamani wadau nimetokea kumpenda mume wa mtu sana sasa sijui nifanyaje na yeye pia ananipenda sana na anasema atanioa je nikubali au niolewe tuu na mtu mwingine.
niposerious

habari za leo wanajamvi.....jamani leo nimestaajabu.Leo nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kua sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba lakini mwenzenu Ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu...Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane naombeni kujuzwa
 
habari za leo wanajamvi.....jamani leo nimestaajabu.Leo nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kua sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba lakini mwenzenu Ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu...Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane naombeni kujuzwa
Hiyo co cm ya msiban
 
Asante mkuu Lakin ungeona jinsi alivyoninyonga ungenihurumia kwa kweli aiseeeee
Pole mkuu, lakini ndio hivyo ujifunze hapo siku nyingine omba au jaza vocha ya kutosha kwenye simu yako ununue kifurushi cha mwezi, au hata ukiishiwa kopa, wanaume wengi hawapendi pale mwanamke anapojaribu kuonyesha ubabe!
Maana unaweza hisi umeonewa kumbe kosa ni lako...
 
habari za leo wanajamvi.....jamani leo nimestaajabu.Leo nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kua sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba lakini mwenzenu Ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu...Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane naombeni kujuzwa
Hafu ujue hapa unaongea na wanaume??

Yani uchukue cm ili upate taarifa kisha ukimbie nayo??

Embu kua sirious, siku hizi madada wezi yawezekana ndio ilikua inasepa hivo, jamaa kakumbuka ya yule malehemu wa mwanza,.

Kama mimi walahi ungekimbia nayo ningekupigia yowe la mwizi na sasa hivi navojua tungekua tunacheza karata kwenu kisa upuzi wako.
 
Kuna tofauti kati ya kushika na kutumia, vyote vinahitaji umakini!
Simu ya mpenzi wako siyo mpenzi wako, inabidi kama unahitaji kutumia simu ya mpenz wako umuombe na siyo kutumia ubabe, naamini hata yeye hawezi kukosa busara na kuchukua simu yako na kuanza kuibofya bofya pasipo idhini yako..!
Simu hizi zina mengi, zinahifadhi mengi!
Unaweza kumharibia hata mwenzio kazi ukakosa ugali! Jifunze kitu hapo...
Umenena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom