Wanaume mna nini na simu zenu?

Wanaume mna nini na simu zenu?

Ungeomba credit, hata ya laki ungepata. Ulivamia privacy ndiyo maana hakukuruhusu.
 
Huna adabu ,,utachukuaje kitu ambacho sio chako bila kuomba,,hv kama ungegombana na mwamamke mwenzio na unaju bastola ya mme wako ilipo c utaifuata uje umtoe ubongo mwenzako,,,
namshukuru Mungu maana ningeitwa central kama wenzangu
 
Wanaume wote ukisema huyu hafai utatafuta sana hawapo wakutumia simu pamoja mmoja kwa mia.
Mi naweza ila sitashea simu na mwanamke maana ukimruhusu ajione hana mpinzani kwako atakutesa mno! Bora asijue kitu chochote hata kama huchepuki.
 
Simu ya mwanaume ni kama kitunguu maji ukiichunguza sana utaishia kutokwa machozi
 
M ngekuongezea na konzi kabisa...... Sim angu unaichukua kama yako akhaa!!
Nachi tuwaachie wahindi
 
Kiukweli Mimi huwa wife ana tabia ya kuchukua simu yangu na kupiga.najikaza kisabuni nikisali message za kipuuzi zisiingie
 
Ulifanya kosa kubwa sana katika mahusiano ya siku hizi.
 
Habari za leo wanajamvi,

Jamani leo nimestaajabu. Nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kuwa sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba.

Lakini mwenzenu ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu. Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane.

Naombeni kujuzwa
Katika vitu ambavyo mwanamke sipendi apekenyue cm yangu! kuna rafik yangu demu wake aliiba sim akawek dp yake jamaa kwa kuwa sio mtu wa sociol network picha ilikaa zaid ya wiki tatu! sometimes mnaboa mnachukua no. za wanawake wetu wengine maboss zetu wa bodaboda! kama mnachukua msifanye kinyemela mambo yenu! its prit dangerous!
 
Katika vitu ambavyo mwanamke sipendi apekenyue cm yangu! kuna rafik yangu demu wake aliiba sim akawek dp yake jamaa kwa kuwa sio mtu wa sociol network picha ilikaa zaid ya wiki tatu! sometimes mnaboa mnachukua no. za wanawake wetu wengine maboss zetu wa bodaboda! kama mnachukua msifanye kinyemela mambo yenu! its prit dangerous!
Sometimes yes, sometimes no mnajitetea tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom