aiseeèeeWewe waeza jiona kua kwake ni mke mtarajiwa , kla kwake wewe ni mchepuko. "Mapenzi utani si masihara"
Mapenzi mubasharamapenzi gani haya sasa? inamaana kuna nini ambacho sipaswi kukijua
ukiomba credit pia hupewi sasa sijui ndo nnUngeomba credit, hata ya laki ungepata. Ulivamia privacy ndiyo maana hakukuruhusu.
namshukuru Mungu maana ningeitwa central kama wenzanguHuna adabu ,,utachukuaje kitu ambacho sio chako bila kuomba,,hv kama ungegombana na mwamamke mwenzio na unaju bastola ya mme wako ilipo c utaifuata uje umtoe ubongo mwenzako,,,
Mi naweza ila sitashea simu na mwanamke maana ukimruhusu ajione hana mpinzani kwako atakutesa mno! Bora asijue kitu chochote hata kama huchepuki.Wanaume wote ukisema huyu hafai utatafuta sana hawapo wakutumia simu pamoja mmoja kwa mia.
kwani me mtoto...Simu zingine zinakuwa na Picha za wakubwa yani pilau so akutaka ufahamu hilo.

Katika vitu ambavyo mwanamke sipendi apekenyue cm yangu! kuna rafik yangu demu wake aliiba sim akawek dp yake jamaa kwa kuwa sio mtu wa sociol network picha ilikaa zaid ya wiki tatu! sometimes mnaboa mnachukua no. za wanawake wetu wengine maboss zetu wa bodaboda! kama mnachukua msifanye kinyemela mambo yenu! its prit dangerous!Habari za leo wanajamvi,
Jamani leo nimestaajabu. Nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kuwa sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba.
Lakini mwenzenu ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu. Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane.
Naombeni kujuzwa
Kiukweli Mimi huwa wife ana tabia ya kuchukua simu yangu na kupiga.najikaza kisabuni nikisali message za kipuuzi zisiingie
, download app inaitwa vault itakufaa sanaThanx, na kwako pia.hayo ndio maneno mama la msing ndio hlo wenza wanaheshimiana kwenye mawasiliano wanadumu sana
na nakuhakikishia kwa principal hyo utadumu milele
Happy valentines day
Hahahaa... Uvunje mke kisa mchepukoPunguza kiherehere,utavunjwa!!
Wala usijeukajidanganya eti kwa kua tunashea password ndo wapenz wa kwel... Kila mtu na akil yake.Wapenzi wa kweli hushea passwad , tofauti na hapo wote wachepukaji tu!
Hauko seriousmademu vihere here sana... sasa we umekosa option zote mpaka ushike simu yangu... kama ni mimi ndo mwisho wa mahusiano... kimbele mbele tu!!!!!
Sometimes yes, sometimes no mnajitetea tuKatika vitu ambavyo mwanamke sipendi apekenyue cm yangu! kuna rafik yangu demu wake aliiba sim akawek dp yake jamaa kwa kuwa sio mtu wa sociol network picha ilikaa zaid ya wiki tatu! sometimes mnaboa mnachukua no. za wanawake wetu wengine maboss zetu wa bodaboda! kama mnachukua msifanye kinyemela mambo yenu! its prit dangerous!