Wanaume MMU tunakera sana

Wanaume MMU tunakera sana

Tuanze na. wewe Molembe ni mara ngapi umekuja hapa jukwaani ukilalamika sana?

tena na kuonyesha chuki ya waziwazi ulionao juu ya wadada.
sijui uwekwe kundi gani, huna tofauti na mtu anaekata tawi alilolikalia...
 
Mada ya so called Molembe ni ya hovyo hovyo kabisa!Kama MMU tuchangie kwa jinsia zetu ni vyema sasa mods wakabandika MMU mbili ya ME na KE

Nimefurahi kuona hata walio like hiki ulichochangia ni wale wale wanaaofanana na wewe. Molembe kawagusa kunako ee
 
Tuanze na. wewe Molembe ni mara ngapi umekuja hapa jukwaani ukilalamika sana?

tena na kuonyesha chuki ya waziwazi ulionao juu ya wadada.
sijui uwekwe kundi gani, huna tofauti na mtu anaekata tawi alilolikalia...

sina chuki na wadada ila najaribu kuambia ukweli.
 
Afadhalii kuna msuto tena auuuu??? Nanii AMENUNAAAAAAAA leo iko mambo ukiona hivyo huyo ni mtoto wa kiume sio kijana wa kiume bado wananuka maziwaa acha wajitawaleeee

ndio tatzo kuweka watu wazima na watoto lazima waharibu tu
 
Ukiona FB au IG inakusumbua ku-login usisumbuke njoo MMU utakosa tu picha zao ila hadithi ni zile zile za kuendesha magari,mke/mume mzuri,ofisi nzuri na trash kama hizo mbaya zaidi hazina uhalisia duh maisha yanaendelea lakini tena kwenye huo umbea midume inaitana kwa ku-mention ID what a shame.
 
Molembe mimi sina gari wala ofisi, nikimaliza kutengeneza banda langu hapa mchikichini naweza kukutongoza kwa PM?
 
Tumekusikia Ndugu Molembe. Ila umejumuisha wanaume wote utadhani kila mtu ana tabia ulizozosema. Naomba urekebishe kichwa cha habari kiwe BAADHI YA WANAUME MMU TUNAKERA SANA kwani mimi simo kwa hao unaowasema.
 
Halafu ujue nilitaka kukutoa out weekend tukale upepo mwanana kule charcoal ila naogopa sina gari sijui tutumie lako.
Haina shida tutumie Murrano au Xtrail?
ila next week naenda Marekani mara moja ntarudi baada ya siku nne
 
Back
Top Bottom