Wanaume mamwinyi

Wanaume mamwinyi

Utakuwa na ujinga wa kiwango cha standard gauge kama utajaribu ku compare maisha ya mwanaume akiwa ghetto na ya ndani ya ndoa.

Inaonesha hujui wajibu wako na ni mwanamke wa kushindia tamthilia (mvivu) sana maana KE wa sharp hawapo hivyo ivyo.

We kaa ukijua kama mwanamke wa tamaduni ya ki TZ hata kama umekulia hyatt regency, una wajibu wa kufanya chores zote ndani ya nyumba hio ni pia na kumhudumia mumeo lioneee kwanzaaa...Nyie ndio minyumba yenu imejaa mimende kwa uchafu..Acha uvivu na kulalamika ovyo wewe
Thanks God my man is very responsible.
Hapendi uchafu aisee akivua nguo anaweka kwenye dustbin
Akiona nipo busy anafanya anachotaka kufanya.
Nikitangulia kutoka anatandika kitanda.
Na mengine meengi ambayo huwa namsifu kwa uanaume wake.
Hivyo kuniambia ndoa itanishinda teh teh teh.
Wewe tafuta tu mwanamke utakayemfanya housegirl na siyo msaidizi wako.
 
Utakuwa na ujinga wa kiwango cha standard gauge kama utajaribu ku compare maisha ya mwanaume akiwa ghetto na ya ndani ya ndoa.

Inaonesha hujui wajibu wako na ni mwanamke wa kushindia tamthilia (mvivu) sana maana KE wa sharp hawapo hivyo ivyo.

We kaa ukijua kama mwanamke wa tamaduni ya ki TZ hata kama umekulia hyatt regency, una wajibu wa kufanya chores zote ndani ya nyumba hio ni pia na kumhudumia mumeo lioneee kwanzaaa...Nyie ndio minyumba yenu imejaa mimende kwa uchafu..Acha uvivu na kulalamika ovyo wewe
Mkuu hata sisi tungependa kula chakula walichopika waume zetu siku moja moja. Ninakisikia furaha weekend kama hii baada ya chai Aspirin anaposa babe wewe nenda saloon ya nyumbani niachie. Hata kama atakachoweza kupika ni mchemdho wa kuku na viazi lakini amekufikiria
 


Hii heading tu nikawaza hivyo hivyo...Yaleyale!

Hiyo ya kunawisha huwa inakera sana, kwa nini unawishe mtu mzima mikono?
Na haya ya kumpelekea kila kitu mezani kuna mtu alishauri kufanya hivi ili kuepusha mtu kutoka nje ya ndoa, mbona tuna kaxi!..
 
Thanks God my man is very responsible.
Hapendi uchafu aisee akivua nguo anaweka kwenye dustbin
Akiona nipo busy anafanya anachotaka kufanya.
Nikitangulia kutoka anatandika kitanda.
Na mengine meengi ambayo huwa namsifu kwa uanaume wake.
Hivyo kuniambia ndoa itanishinda teh teh teh.
Wewe tafuta tu mwanamke utakayemfanya housegirl na siyo msaidizi wako.

Sio housegirl, she is the real woman ambae amefunzwa kwao na anajua kumshughulikia mume...hawezi ruhusu nifanye yote hayo ilihali yupo active haumwi wala nn!

We shukuru tu kuwa umebahatika kupata mtu anaeinjoy kukusaidia kazi otherwise...
 
Aisee wanaume zao walikua responsible hao unaowaita mama zenu,
Nimeona mifano mingi tu unakuta mwanaume anamfulia mkewe (wakiwa wazee tayari)
Sasa sijui huwa mnawazungumzia mama wapi hao,
Ni hao hao wanaume walikua wanakwenda sokoni na kuwaacha wake zao wapumzike ?
Ama wanaume wapi hao ?
Hili ni jambo dogo tu mtu akishaswaki aweke mswaki unapotakiwa,aweke taulo linapotakiwa,aweke nguo zake kwenye dustbin n.k
Babu yangu mpaka leo anafua nguo na mkewe akiwa hajisikii vizuri anafanya usafi chumbani kwake !
Nakupa bonge la povu "Olewa na babu yako."...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anakuja kukuita jikoni uko kati kati ya mapishi kisa haoni socks ya pili na anachelewa huko vaendako.
hapo kwenye socks minamuamshaga mtu usingizini yani atafute, unafua socks alafu unachanganya na manguo ya watotowako, mimi nichelewe kazini kwa sababu ya kutafuta socks moja!!!'
we, we, we amka utafute kesho utajifunza kupangavitu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii heading tu nikawaza hivyo hivyo...Yaleyale!

Hiyo ya kunawisha huwa inakera sana, kwa nini unawishe mtu mzima mikono?
Na haya ya kumpelekea kila kitu mezani kuna mtu alishauri kufanya hivi ili kuepusha mtu kutoka nje ya ndoa, mbona tuna kaxi!..
Tena mwingine kuna sink la kunawia hapo dinning lakini atataka ukamnawishe na bakuli alipokaa. Si ushamba huo sasa? Au ndo umwinyi wenyewe?
 
hapo kwenye socks minamuamshaga mtu usingizini yani atafute, unafua socks alafu unachanganya na manguo ya watotowako, mimi nichelewe kazini kwa sababu ya kutafuta socks moja!!!'
we, we, we amka utafute kesho utajifunza kupangavitu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa na utaratibu wa kufua socks na boxers zako weekend na kuzipanga kila socks na mwenzake usingeumia kichwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom