Wanaume mamwinyi


We ulitaka afanye sawa na wewe?? Basi na wewe uwe unampiga mashine ili muende sawa usidhani kusimamisha mashine na kupump mpka wewe ushushwe Mzigo ni mchezo
 
Ile umeamka asubuhi ukawahi sehemu ukamuacha kalala ukirudi jioni hajatandika kitanda, hajaoga kalala kisa haukuwepo ukamuandalia maji utafikiri unaishi na chizi. Wanawake tuna tabu sana.
ahahahhahahahhahahahahahaha! aiseee leo wamekufumua wadau
 
Hayo mambo tushazoea kwenye ndoa we r Tanzanian hata usomeje mwanamke lazima mumeo umhudumie kila kitu wengi tunafundishwa hvyoo
Ni jambo la kawaida pia kwetu ukiona ananuna mke hajafundwa au uzungu mwingi

My own brand!!
Na Wanawake kama hawa huwa inafikia wakati wananyang'anywa Waume zao na Wafanyakaz wao,sababu ya uvivu,jamii yetu ya Kiafrika ndivyo ilivyotulea hata tulipokuwa na Wazaz wetu,ndivyo walivyoishi labda kwenu ni tofaut na hili nalolisema,hatukatai Mwanaume kumsaidia Mke wake hiyo ni hiari na siyo lazima,ukiendelea hivyo hiyo ndoa itakushinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wadada wengi wapo negative sana asee, ii game ya mahusiano inazidi kuwa tight, still naona kuna wadada bado wanajielewa, tatizo siku izi watu wapo so entitled hata kwenye vitu ambavo haviitaji entitlement. Izi Ego sijui mnazitoa wapi izi, zinawapeleka pabaya.
 
Wanawake wa mjini hasa hawa wanaojiona wasomi ni matatizo,yaani mtataka mpaka Waume zenu walee Watoto na kupangiana kuosha vyombo,na hawa wapo,ila ni aibu sana Mwanaume kufanya haya kwa kulazimishwa ila kwa hiari yake poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaelewa mada.
Kuna gender roles zinajulikana.
Ila kuna vitu vidogo vidogo vya mtu kujitegemea na kumpunguzia mtu majukumu.
Unaona wanawake wa mjini ila hauoni wanaume wa mjini wanaotaka kuhudumiwa financially and materially.
 
Bila shaka utakuwa mwanamke mfupi wewe!
 
inamaana anaoga mwenyewe ? aiseee siogi ntaishia kujimwagia maji lazima uniogeshe hahahahahhahaah kuwa mwanaume raa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…