Lamar BlacAmerican
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 978
- 2,311
Ndo maana mkaitwa mama wenye nyumba hatupendi kuingilia majukumu yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa! Hivi mbona huko huwa hawasemi tuache isidingo? Ila tukitaka kufanyiwa sisi utasikia tamthiliya zinatuharibu. If you do me i do you!Ndo hivyo muanzage kufanya mazoezi ya kubeba vyuma ili kupakata kilo zilizowazidi..
espy Heaven Sent demi Neybright
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama zao walikuwa wanawapataka baba zao?Hahahaaaaa! Hivi mbona huko huwa hawasemi tuache isidingo? Ila tukitaka kufanyiwa sisi utasikia tamthiliya zinatuharibu. If you do me i do you!
Hahahaaaaa!!Mama zao walikuwa wanawapataka baba zao?
Mbona raaaaaaaaaaaaainamaana anaoga mwenyewe ? aiseee siogi ntaishia kujimwagia maji lazima uniogeshe hahahahahhahaah kuwa mwanaume raa
Naona mnafuga walemavu.
Alie mtumwa.
Hahahaaaaa! Hivi mbona huko huwa hawasemi tuache isidingo? Ila tukitaka kufanyiwa sisi utasikia tamthiliya zinatuharibu. If you do me i do you!
Hahah!, mbonaa!, inabidi kusikiliza, kufata na kutekeleza maelekezo toka kwa bwana atii!!!
Na ukiletewa chumvi unaitisha tooth pickDah! Sky Eclat Ndio hivyo ilivyo, nawaza hapa kwamba nipishane na watoto jikoni kisa nafuata chumvi, jameni wanawake wa siku hizi hamjafundwa kabisa.
Binafsi mimi huwa siendi jikoni kabisa, na maji ya kunawa nasubiri pale kwenye meza ya kula maana kama baba wa nyumba ni aibu sana kupanga foleni na wanangu kwenye sink eti tunawe mikono.
Nawahurumia vijana wanaoingia kwenye hizi ndoa za dotcom...
Michango yenu wengine inaonyesha mna migogoroNature mbona mkiwa kwenye mageto yenu hamfanyi hivyo !?
Huwa inaboa sana mtu anasimama anavua nguo anaacha hapo hapo.
Taulo kitandani,upo unapika anakuita kamletee glass mara kidogo kaita umtafutie charger,
Hujarudi vizuri anaulizia remote,
Ukikaa ujiandae uepue unaitwa ukawashe ac/feni.
Mpaka ifike jioni unatamani aondoke tu walau upumzike !