Hakuna umwinyi, ni kazi yako kumfanyia tena kwa upendo bila kujinyanyasa. Tena wale "stay home wives" wala wasilalamike, wafanye tu maana hakuna namna!!!Kakaa kuna wanaume ma mwinyi akimaluza kula anaondoka mezani Huku anakutuma upo lush viatu vyake
Sina hata mpango wa kuishi na bekitatu.Na ninyi mabeki 3 mnawafanyia hivo hivo.
Kuna wanaume wanapenda u-mwinyi bwana, yaani anaamka anaenda kuoga wakati anaoga unatandika kitanda na kuweka mazingira ya chumba vizuri. Unakwenda jikoni kuandaa chai, anatoka bafuni na taulo kiunoni anatafuta atavaa boxer na kama atakumbuka mafuta basi itakuwa kwenye viganja vya mikono. Taulo atakuachia juu ya kitanda si tatizo lake tena.
Mezani umeandaa chai na vitafunio hata kama chumvi haisikiki mfano kwenye mayai atakuita ukamchukulie jikoni hapo ni baada ya kukuita umletee maji ya kunawa na tissue ya kujikaushia.
Yaani ameshindwa kabisa kwenda kunawa jikoni au bafuni au kwenda jikoni kuchukua chumvi. Na akimaliza kula hataondoa hata kijiko mezani anaacha kila kitu pale anakwenda kukaa kwenye sofa anaangalia mpira, kusoma gazeti au anachat kwenye simu. Hiyo ni weekend.
Hivi kwa nini hawaoagi tu house girls in the first place as wao ndo wapo perfect?
Ndio maana hamwendelei mtabaki kununua vya watu cz hamuwazi mnawaza ujinga wenu tuu na uvivu plus hela zenyewe za mawazo...utajiitaje mwanaume we we utakuwa ni zaidi ya sugar daddyKwanza tujue je umeolewa?? Ni ngumu sana kulisema jambo hilo kwa ujumla wake...ndoa ni katiba/mkataba wa watu wawili me na ke jinsi watakavyoendesha mambo yao, kama ndo wamekubaliana hivyo nani wa kuingilia?? Wakati wewe unataka mwanaume afanya hayo wapo ambao mwanaume akifanya humkatalia na kumsihi aache atafanya yeye (ke) kwani ni majukumu yake.
Utakuwa muhenga tuuHayo mambo tushazoea kwenye ndoa we r Tanzanian hata usomeje mwanamke lazima mumeo umhudumie kila kitu wengi tunafundishwa hvyoo
Ni jambo la kawaida pia kwetu ukiona ananuna mke hajafundwa au uzungu mwingi
My own brand!!
What is posa ....haina thamani hata ya kitambaa cha kamasi..huwezi kumthaminisha MTU na posa yako ya mia mbiliVipi kuhusu Posa.....maana mi naona n moja ya vtu ambavyo vinaleta umwinyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufundwa ujinga? Fanya kazi let's hela za kutosha...mama akuhudumie sio kimshahara cha five digit unaleta mambo ya kufundwa...Umeanza chokochoko siku nyingi. Kama upo kwenye ndoa naona ndoa imekushinda. Itakuwa hujafundwa wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwiii ningemfukuzaNature mbona mkiwa kwenye mageto yenu hamfanyi hivyo !?
Huwa inaboa sana mtu anasimama anavua nguo anaacha hapo hapo.
Taulo kitandani,upo unapika anakuita kamletee glass mara kidogo kaita umtafutie charger,
Hujarudi vizuri anaulizia remote,
Ukikaa ujiandae uepue unaitwa ukawashe ac/feni.
Mpaka ifike jioni unatamani aondoke tu walau upumzike !
Mnakula wote huku mnasifiana mapishi ya mezani na ya chumbani. Sasa usitenge chakula bila maji ya kunawa, utaitwa kwa nguvu na hata kusifiwa mapishi itakuwa ndoto tenana mie nikila nan aniliwaze?mtoto! hv unataka uliwazwaje kwenye kula? yaan ubembelezwe km mtoto au unatakaje? kha makubwa haya
Mnakula wote huku mnasifiana mapishi ya mezani na ya chumbani. Sasa usitenge chakula bila maji ya kunawa, utaitwa kwa nguvu na hata kusifiwa mapishi itakuwa ndoto tena
Sasa kumzalisha mwanamke hlf namuacha ndo sitaki...Mtoto bila ndoa inashindikana vipi mkuu? Sidhani km ni sahihi kuingia kwenye taasisi ambayo unatambua kabisa huiwezi. Not fair kwa mwenzako na kwako pia maana utapata stress sizizo na sababu maisha yako yote
Pole ila ndo ukweli..Teh teh teh nadhani na wewe ni mwanamke mwenzangu utakua unajua tofauti ya mwanaume zezeta na asiyejitambua.
Nop!. you girls u need to be a little bit flexible kwa wanaume, tunasikia faraja kuona mwanamke anasikiliza maelekezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo raha ya kuwa na mke...akimaliza huduma zote akija sitting room nampakata nampozapoza kwa mahabbat anafurahi siku inapita vizuri....Sasa Sky wewe unataka 50/50 nyumbaniKuna wanaume wanapenda u-mwinyi bwana, yaani anaamka anaenda kuoga wakati anaoga unatandika kitanda na kuweka mazingira ya chumba vizuri. Unakwenda jikoni kuandaa chai, anatoka bafuni na taulo kiunoni anatafuta atavaa boxer na kama atakumbuka mafuta basi itakuwa kwenye viganja vya mikono. Taulo atakuachia juu ya kitanda si tatizo lake tena.
Mezani umeandaa chai na vitafunio hata kama chumvi haisikiki mfano kwenye mayai atakuita ukamchukulie jikoni hapo ni baada ya kukuita umletee maji ya kunawa na tissue ya kujikaushia.
Yaani ameshindwa kabisa kwenda kunawa jikoni au bafuni au kwenda jikoni kuchukua chumvi. Na akimaliza kula hataondoa hata kijiko mezani anaacha kila kitu pale anakwenda kukaa kwenye sofa anaangalia mpira, kusoma gazeti au anachat kwenye simu. Hiyo ni weekend.