Wanaume mamwinyi

Kakaa kuna wanaume ma mwinyi akimaluza kula anaondoka mezani Huku anakutuma upo lush viatu vyake
Hakuna umwinyi, ni kazi yako kumfanyia tena kwa upendo bila kujinyanyasa. Tena wale "stay home wives" wala wasilalamike, wafanye tu maana hakuna namna!!!
 
elewa hukupata mwanaume kama mimi yaani hiyo ndoa ingevunjika njiani!
Nitaendelea kupenda na kusifia watoto wa kike toka kabila langu maana hayo yote ndio majukumu ya mwanamke anaejitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana hamwendelei mtabaki kununua vya watu cz hamuwazi mnawaza ujinga wenu tuu na uvivu plus hela zenyewe za mawazo...utajiitaje mwanaume we we utakuwa ni zaidi ya sugar daddy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwiii ningemfukuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na mie nikila nan aniliwaze?mtoto! hv unataka uliwazwaje kwenye kula? yaan ubembelezwe km mtoto au unatakaje? kha makubwa haya
Mnakula wote huku mnasifiana mapishi ya mezani na ya chumbani. Sasa usitenge chakula bila maji ya kunawa, utaitwa kwa nguvu na hata kusifiwa mapishi itakuwa ndoto tena
 
Mtoto bila ndoa inashindikana vipi mkuu? Sidhani km ni sahihi kuingia kwenye taasisi ambayo unatambua kabisa huiwezi. Not fair kwa mwenzako na kwako pia maana utapata stress sizizo na sababu maisha yako yote
Sasa kumzalisha mwanamke hlf namuacha ndo sitaki...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo raha ya kuwa na mke...akimaliza huduma zote akija sitting room nampakata nampozapoza kwa mahabbat anafurahi siku inapita vizuri....Sasa Sky wewe unataka 50/50 nyumbani


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…