Wanaume kuwa na tabia za kikekike ni janga linaloikumba Nchi yetu

Huwezi elewa. Lakini ukisoma ukitulia utaelewa nazungumzia nini.
Ndio maana nikasema, wakati nakua kuna mambo tulikuwa tunaaminishwa lakini ulikuwa ni uongo mkubwa.

Umuhimu wa kile ninachokifanya kitajulikana mwisho. Kwa sasa unachoweza kufanya ni aidha kukosoa au kupinga, na kurekebisha au kuunga mkono kile ninachokiandika
Hujaonesha ulipoandika hivyo. Kwa sababu hujaandika hivyo.
 
Hivi huwa unafanya yote unayoyasema au unaandika kama sehemu ya uandishi wako..

Maana katika uandishi kuna kuandika kutokana na mtazamo wako halisi na kwa upande mwingine, ni uandishi unaogemea kuwapa watu kile wanachokitarajia hata kama hakiendani na misingi yako ili mradi upate attention na fan base kubwa
 
Watu wa aina hii wengi, wana tatizo la kukosa elimu, kukosa nafasi ya kutembea duniani na kuona maisha tofauti, watu tofauti, tamaduni tofauti.

Yani mtu anaweza kuangalia wanawake wa kijijini kwake kwenye umasikini na elimu duni, halafu akarahisisha mambo tu kwamba wanawake wote wako hivyo.

Kumbe, yale anayoona ni matatizo ya umasikini na elimu duni ya kijijini kwake, si matatizo ya wanawake.
Pole bibie
 
Hivi huwa unafanya yote unayoyasema au unaandika kama sehemu ya uandishi wako..

Maana katika uandishi kuna kuandika kutokana na mtazamo wako halisi na kwa upande mwingine, ni uandishi unaogemea kuwapa watu kile wanachokitarajia hata kama hakiendani na misingi yako ili mradi upate attention na fan base kubwa

1. Naandika yale yaliyopo katika akili yangu. Inaweza kuwa ni maoni, mtizamo, au falsafa zangu.

2. Naandika ili kusaidia wale watakaoona msaada kupitia kile nilichoandika.

3. Siandiki kwa sababu ya kutafuta attention ya watu, ndio maana tangu nimeanza kuandika huu ni mwaka wa 7. Zipo post wamesoma Watu wachache, wakawaida, na zipo waliosoma wengi.

4. Naandika vile nilivyokuwa, nilivyo na nitakavyokuwa. Na ambao watataka kuwa kama mimi wajifunze pia.

Najua sio kila mtu anaweza kufurahia mtindo wangu wa maisha lakini hiyo haipo juu yangu.
 
1. Naandika yale yaliyopo katika akili yangu. Inaweza kuwa ni maoni, mtizamo, au falsafa zangu.

2. Naandika ili kusaidia wale watakaoona msaada kupitia kile nilichoandika.

3. Siandiki kwa sababu ya kutafuta attention ya watu, ndio maana tangu nimeanza kuandika huu ni mwaka wa 7. Zipo post wamesoma Watu wachache, wakawaida, na zipo waliosoma wengi.

4. Naandika vile nilivyokuwa, nilivyo na nitakavyokuwa. Na ambao watataka kuwa kama mimi wajifunze pia.

Najua sio kila mtu anaweza kufurahia mtindo wangu wa maisha lakini hiyo haipo juu yangu.

Ok nimekuelewa na haikuwa na haja ya kuwa too defensive. Pia neno attention kwenye online or business world ni next step baada ya kuwa visible na haina maana mbaya kama ulivyoishukia kwa nguvu zote.

Yote kheri lakini cha msingi ufanye unachokipenda. Pia kila la kheri kwenye safari yako ya kutengeneza "influence"

"Taikoni wa fasihi"
 
Umeandika wapi?

Yote niliyoandiaka hapo kwa lugha moja ni Gender Stereotypes.
Sasa niambie niwapi nimemuonea huyo Mwanamke
Au kusema mwanaume asiwe kama Mwanamke ndio unaona kama nawanyanyapaa Wanawake?

Tabia za kike huzijui?
Kama sosholojia inakupiga chenga basi waulize Wanasaikolojia wao watakuambia kipi nilichoeleza
 
Back
Top Bottom