DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 1,487
- 2,739
Bila kupoteza Muda nijielekeze moja kwa Moja kwenye Mada.
Wanawake wamekuwa wakipambania sana usawa 50/50 na serikali imekuwa ikitumia mbinu Nyingi sana ili kufanikisha jambo hilo ambalo ni kinyume kabisa na tamaduni zetu, hata kwenye vitabu vyetu vya dini ambavyo vinataka mwanamke awe msaidizi wa mwanaume, Tena ikimtambua Kiumbe dhaifu.
Sasa siku za karibuni serikali imeweka utaratibu kwenye Clinic zetu baba akimpeleka motto apewe kipaumbele ahudumiwe kwanza asikae kwenye foleni kama wengine lengo ni kuhamasisha wanume nao waende cliniki au wapeleke watoto clinic
Wakuu huu ni mtego itafika wakati akina mama hawatapeleka tena watoto clinic na yatakuwa majukumu rasmi ya baba, tukikubali hili wanaume tumeisha Aisee, tutakuwa tumejiingiza wenyewe kwenye majukumu haya ambayo tangu kuumbwa kwa ulimwengu yalikuwa ni majukumu ya Akina mama.
Jambo la Pili Hivi karibuni NIliona taarifa moja kutoka huko mbeya ikieleza kuwa majengo ya akina mama ya kujifungulia kuwe na sehemu ambayo akina baba pia watakuwa wakishuhudia Live kabisa vile mke wake anajifungua ili nawe upate ule uchungu na maumivu.
Hapa napo wanataka kutushirikisha kwenye uchungu ambao sisi wanaume hatuhusiki.
Wewe kama ni mwanaume fanya kazi kwa Bidii usichague kazi ya kufanya hakikisha watoto wanaishi katika mazingira mazuri, wanakula mlo kamili, wanapata elimu kuwatimizia mahitaji yao yote hayo mengine tusiukubali huo mtego.
Wasalaam
Wanawake wamekuwa wakipambania sana usawa 50/50 na serikali imekuwa ikitumia mbinu Nyingi sana ili kufanikisha jambo hilo ambalo ni kinyume kabisa na tamaduni zetu, hata kwenye vitabu vyetu vya dini ambavyo vinataka mwanamke awe msaidizi wa mwanaume, Tena ikimtambua Kiumbe dhaifu.
Sasa siku za karibuni serikali imeweka utaratibu kwenye Clinic zetu baba akimpeleka motto apewe kipaumbele ahudumiwe kwanza asikae kwenye foleni kama wengine lengo ni kuhamasisha wanume nao waende cliniki au wapeleke watoto clinic
Wakuu huu ni mtego itafika wakati akina mama hawatapeleka tena watoto clinic na yatakuwa majukumu rasmi ya baba, tukikubali hili wanaume tumeisha Aisee, tutakuwa tumejiingiza wenyewe kwenye majukumu haya ambayo tangu kuumbwa kwa ulimwengu yalikuwa ni majukumu ya Akina mama.
Jambo la Pili Hivi karibuni NIliona taarifa moja kutoka huko mbeya ikieleza kuwa majengo ya akina mama ya kujifungulia kuwe na sehemu ambayo akina baba pia watakuwa wakishuhudia Live kabisa vile mke wake anajifungua ili nawe upate ule uchungu na maumivu.
Huu nao ni mtego Tusiposhtuka mapema Maana jukumu la kuzaa ni mwanamke kwa sisi Wakristo biblia katika kitabu cha Mwanzo 3:16 inasema hivi
Kisha akamwambia mwanamke, “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”Hapa napo wanataka kutushirikisha kwenye uchungu ambao sisi wanaume hatuhusiki.
Wewe kama ni mwanaume fanya kazi kwa Bidii usichague kazi ya kufanya hakikisha watoto wanaishi katika mazingira mazuri, wanakula mlo kamili, wanapata elimu kuwatimizia mahitaji yao yote hayo mengine tusiukubali huo mtego.
Wasalaam