Wanaume, kuleni hili tunda!

Singida, Dodoma, Tabora
Tele Yanamea Sana
Niliwahi kuyaona hata shinyanga back on 80"s, sina hakika kama bado yanapatikana, mwenye kujua yalipo tafadhali tujulishane, nime search kwenye google nimeona wenzetu wanatengeza mpaka Juice yake, na yana faida nyingi kwa mwili hakika.
 
View attachment 1315399

Sina sababu ya kujiapiza. Maisha yangu siku zote naona fahari kuwasaidia binadamu wenzangu. Sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana. Ukitoa utashi tuliojaaliwa sisi si kitu mbele ya wanyama kama simba, mamba, viboko na wengine. Huu utashi na wala siyo nguvu ndio unaonisukuma kupenda kuwasaidia wenzenu.

Leo nakupa hii siri. Hili ni tunda ambalo watu wa vijijini hasa wafugaji wanalijua. Lakini siri hii walikuwa hawaijui.

TAFUTA HILI TUNDA, KULA TUNDA MOJA KILA SIKU KWA MUDA WA SIKU. UTARUDI HAPA KUNIAMBIA.

Note: Limenye vizuri kwa sababu ganda lake lina miiba midogomidogo
-Nashauri watumie wanaume tu tena walioko kwenye ndoa!

Huo ushauri ni kwa wanaume ws Dar?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom