Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
Ni matamu?Wanawake tukitumia inakuwaje? Mimi nimeyala sana enzi hizo nikiwa mdogo mdogo. Tulikuwa tunayaita 'mafurahishaa". Hivyo vimiba vyake vikikuingia ni kero , unawashwa sana.
Sikuona madhara
Nenda tu mpaka mwisho mwa nchi huko utakutana nayo yanatembea taratibuTatizo napoishi huwezi kuyapata (naishi bondeni kwa madiba)
Mafurahisha nini?. Tafadhali kwa ustawi wa wote weka kitu hadharani hapaMafurahisha...( siwezi kumalizia).
Enzi hizo,kipindi hicho ulikuwa mtoto. Genye zilikuwa bado kwa bibiake. Kula sasa utaona mbilimbe yake. Utanitafuta mwenyewe usiku wa mananeWanawake tukitumia inakuwaje? Mimi nimeyala sana enzi hizo nikiwa mdogo mdogo. Tulikuwa tunayaita 'mafurahishaa". Hivyo vimiba vyake vikikuingia ni kero, unawashwa sana.
Sikuona madhara
Mkuu ukikulia mjini au kwenye vijiji vile ambavyo vyakula ni vingi na hakuna njaa njaa, kuna vitu vingi sana unajikuta hujui kama hua vinaliwa.
tunda pendwa la mornie ndio mpango mzima, achana na uo ujinga wa mtoa mada
Mjibu swali kakimbia swali languNipo hapa nasikiliza na kusoma kwa nidhamu kabisa.
Hata sikumbuki ladha yake, lakini lazima yalikuwa ni matamu.
OP amesema effects zinaonekana kwa wanaume tuu lakini.Enzi hizo,kipindi hicho ulikuwa mtoto. Genye zilikuwa bado kwa bibiake. Kula sasa utaona mbilimbe yake. Utanitafuta mwenyewe usiku wa manane
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungetudadavulia kidogo hapo kwani ukila mengi yanaleta nini kinachoambatana na hilo jina??Hayo kula mawili uondoke zako, sasa ukileta uroho wako kula kumi ndio utajua kwa nini yaliitwa mafurahisha.
Nibalaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikulie hilo tundaWanawake tukitumia inakuwaje? Mimi nimeyala sana enzi hizo nikiwa mdogo mdogo. Tulikuwa tunayaita 'mafurahishaa". Hivyo vimiba vyake vikikuingia ni kero, unawashwa sana.
Sikuona madhara
Sio wote mabao ya kwanza yanakuwa ya haraka. Labda kama amekaa muda hajasex.Paula Paul,
Paula Paul naomba uelewe kwamba mwanaume bao la kwanza huwa la haraka sana kwa sababu ya hamu kuwa kubwa sana. Na kwahiyo kama maandalizi ya kumwandaa mwanamke kwa muda mrefu mara nyingi wanawake huachwa wakiwa na hisia kali za kujamiiana. Ili mwanamke awe sawa lazima mawili matatu yahusike . Moja ni uzembe na ugonjwa kwa muandaaji