Wanaume, kuleni hili tunda!

Papa Mobimba

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
1,153
1,359
20200107_235349.jpg


Sina sababu ya kujiapiza. Maisha yangu siku zote naona fahari kuwasaidia binadamu wenzangu. Sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana. Ukitoa utashi tuliojaaliwa sisi si kitu mbele ya wanyama kama simba, mamba, viboko na wengine. Huu utashi na wala siyo nguvu ndio unaonisukuma kupenda kuwasaidia wenzenu.

Leo nakupa hii siri. Hili ni tunda ambalo watu wa vijijini hasa wafugaji wanalijua. Lakini siri hii walikuwa hawaijui.

TAFUTA HILI TUNDA, KULA TUNDA MOJA KILA SIKU KWA MUDA WA SIKU. UTARUDI HAPA KUNIAMBIA.

Note: Limenye vizuri kwa sababu ganda lake lina miiba midogomidogo
-Nashauri watumie wanaume tu tena walioko kwenye ndoa!
 
Wanawake tukitumia inakuwaje? Mimi nimeyala sana enzi hizo nikiwa mdogo mdogo. Tulikuwa tunayaita 'mafurahishaa". Hivyo vimiba vyake vikikuingia ni kero, unawashwa sana.
Sikuona madhara
Tabora enzi za udogo mafurahisha tulikuwa tunayapiga kwa majani ya matawi kuondoa vimiiba vyake.
Sijui kwanini yanaitwa mafurahisha, inawezekana kuna kaukweli ndani yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom